Umuhimu wa kuhonga katika mapenzi

Umuhimu wa kuhonga katika mapenzi

atoto unaitwa huku
Huyo Atoto yeye anataka nimuhonge kagari yaani vitz eti na yeye ndio atanifikiria kama network yangu inasoma,nikijitahidi sana naweza kumnulia kibajaji cha gurudumu tatu,je unafikiri atakubali? coz najua unamfahamu vizuri.
 
Huyo Atoto yeye anataka nimuhonge kagari yaani vitz eti na yeye ndio atanifikiria kama network yangu inasoma,nikijitahidi sana naweza kumnulia kibajaji cha gurudumu tatu,je unafikiri atakubali? coz najua unamfahamu vizuri.
Mnunulie afu ndo utapata jibu
 
Ila ukitaka kuenjoi inabidi kuhonga vyote vyote.

Kahela kidogo, na ka asset kidogo, hapo mtoto mzuri hachomoki.
hawana kanuni hawa kaka...ni sawa na kumdhamini mmsai wa kilosa.fanya yote hayo na bado unaweza kuchapiwa tu!
 
alafu mamii huwa sioni tags zako unless umeniquote, sijui kwanini!!


haya ndio mambo sasa, ila mie sitaki asset nataka pesa tuuu yaani pesa nyingi nyingiii ili ninunue asset mwenyewe.
Yeah nilihisi tu hilo. Hahhaa kweli bora upewe cash, tatizo hawa vijana wa mwendokasi nao wana akili kama Mchwa, utaambiwa cash uifate home
 
Yeah nilihisi tu hilo. Hahhaa kweli bora upewe cash, tatizo hawa vijana wa mwendokasi nao wana akili kama Mchwa, utaambiwa cash uifate home

yaani taabu tupu, ukipewa gari unanyang'anywa ukipewa nyumba hali kadhalika, pesa nazo ndio vile tena hadi uzifuate basi tafrani. Ila bora pesa tu kuliko kuha kunyang'anywa vitu unabaki ukifedheheka.
 
kweli kabisa hakuna hela tamu kama ya mwanaume nasema hakuna yaani mwanaume anaetoa hela anaujaza moyo hata ukijamba unasikia harufu yake.
yaani wanaume msioonga jipeni moyo tu ila mjue mnakera kama tume ya uchaguzi

Duuuu,ata uki...?

jf kiboko,hata ukiwa na madeni akili itakaa sawa tu
 
Back
Top Bottom