Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,581
- 7,231
A
Achukue alichokuhonga ??
Huyo me au baradhul... na wewe boya atachukuaje wakati alikula tam yako ndo akanogewa mpaka kuhonga?
Patawaka moto bila kiberiti siku hiyo na hata kaa kusahau hilo bobo atakalolivaa!
Bora nihongwe pesa, ukihongwa asset siku ya kuachana jiandae kufedheheka. Wananyang`anya kila kitu. We nipe pesa ninunue nachotaka na sio unileteee hakuu sitaki.
Achukue alichokuhonga ??
Huyo me au baradhul... na wewe boya atachukuaje wakati alikula tam yako ndo akanogewa mpaka kuhonga?
Patawaka moto bila kiberiti siku hiyo na hata kaa kusahau hilo bobo atakalolivaa!