shilla de sam
Member
- Jan 7, 2013
- 8
- 3
Habari Tanzania!
Umewahi kujiuliza ni kwa kiwango gani Ushauri wa Kitaalam (Consultancy) ni muhimu katika uanzishaji, endelezaji na kufanikisha shughuli zetu za Kibiashara, Miradi mbalimbali, Ujasiriamali, n.k?
Pia, kwa kiasi gani watanzania tumekuwa tukipata ushauri toka kwa Wataalamu wetu kuhusu masuala tofauti tofauti.
a. Je, umewahi kwenda kwa mtaalamu mshauri kupata ushauri wowote kwa kuchangia pesa kidogo?
b. Kama hujawahi kufanya hivyo, unadhani nini ni changamoto?
c. Je, tuna wataalamu wenye uwezo wa kutoa ushauri kwa Watanzania?
Umewahi kujiuliza ni kwa kiwango gani Ushauri wa Kitaalam (Consultancy) ni muhimu katika uanzishaji, endelezaji na kufanikisha shughuli zetu za Kibiashara, Miradi mbalimbali, Ujasiriamali, n.k?
Pia, kwa kiasi gani watanzania tumekuwa tukipata ushauri toka kwa Wataalamu wetu kuhusu masuala tofauti tofauti.
a. Je, umewahi kwenda kwa mtaalamu mshauri kupata ushauri wowote kwa kuchangia pesa kidogo?
b. Kama hujawahi kufanya hivyo, unadhani nini ni changamoto?
c. Je, tuna wataalamu wenye uwezo wa kutoa ushauri kwa Watanzania?