TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
sasa mambo gani hayo ya yanga humu aisee??:fish:Yanga wameumisa sana moyo wangu asee!... kama si msosi wa Ashadii, ningeshaRIP.
sasa mambo gani hayo ya yanga humu aisee??:fish:Yanga wameumisa sana moyo wangu asee!... kama si msosi wa Ashadii, ningeshaRIP.
she is hot!!!ha ha ha... kama ni hivyo.... looking forward to mafanikio...
naona lakini umegundua tayari kwa kiasi fulani she is loosening up..
ukila ugali wa sembe kwa dagaa mchemsho na maziwa ya mgando kama kiteremshia msosi utakuwa ni lishe ambayo inaongelewa humu kwenye huu uzi? Au yapo marekebisho yanayotakiwa ili ufikie kiwango kilichokusudiwa????????????????
Niambie chakula aina gani unapenda, wali, ugali au vyakula vya unga wa ngano??
Kwa hisani ya watu wa Libya, waweza nikumbusha huo uzi Asha D?Babu nimepita ule uzi.... ukasema you feel like kumpenda mpenda... thus my statement ya replacement...lol
Inaumisa sana asee!sasa mambo gani hayo ya yanga humu aisee??:fish:
hhmmm, i thought i am almost thereI know... RED HOT in the eyes of the beholder...
Ndiyo babu!!!Na hilo ndilo neno la Mungu. Nawe Ubarikiwe sana Mentor.
Siku nyingine usiulize sana utajing'ata ulimi.
'Love until it hurts, and when it hurts love some more, love until it hurts no more' by Smarter.
nimekula ugali kwa dagaa na kishushio cha mgando..........wali sipendi sana labda matoke ndipo utakuwa umenifikisha nitakapo................................lol
Closer.....Closer....hhmmm, i thought i am almost there
Aisee we binti..... mbona nahisi huu msosi ni mtamu kuliko ule uloniandalia........... mwekee mapilipili mengi ili awashwe, kabla sijakasirika!Ruta basi nakuandalia matoke ya kuchanganywa na utumbo wa ng'ombe...
ni mchemsho wenye end result ya matoke, nyama, hoho, carrots, vitunguu,
garlic kwa mbali, pili pili kwa mbali, cabbage teta ilomenyuliwa (sio kukatwa...)
tangawizi kwa mbali... ikiandaliwa na limao kwa pembeni... naona itakua bora
kinywaji kiwe chai ya maziwa fresh kabisa ilotiwa iriki, abdalasin, na karafuu...
Kwa hisani ya watu wa Libya, waweza nikumbusha huo uzi Asha D?
Hahahahahahahaaaaaaaaaa............. hahahahahaha....... hehehehehehehee....... khaaaaaanything for babu....lol.. nimekuwekea page kabisa...
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/151187-wapi-ashadii-3.html