Umuhimu wa chakula katika mapenzi/mahusiano

Great as South Sudan now on their own government. But should honour efforts initiated by former leader of the new nation, the late John Garang, who was killed by Albashir through support by Uganda's Museveni administration. That is bad but the country and people of South Sudan are free from North Sudan of Arabs. Kisima.

aisee, naona umetia sipo kabisaaa...unalifahamu International Forum, kule ndo kwenyewe

Hapa tukiongelea jinsi chakula kilichopikiwa vizuri kinavoweza kuenhance ur sexual life..
 
aisee, naona umetia sipo kabisaaa...unalifahamu International Forum, kule ndo kwenyewe

Hapa tukiongelea jinsi chakula kilichopikiwa vizuri kinavoweza kuenhance ur sexual life..


yaaaani Sweetie... niliishiwa nguvu... soma post yangu # 294... i thot nimepotea njia...lol
 
Hommie hapa uliandikanaga nini fire?


JF Premium Member

[h=2]This message has been deleted by Kaizer.[/h]
 
zamaaaani enzi zile nilikuwa nasema ntakapo oa sitataka kula chakula cha housegirl. kwamba lazima nile chakula cha wife niwapo nyumbani. kwamba hata kama anafanya kazi, tutarudi wote, tutaingia wote jikoni na kupika. but realities of life zimefanya hii fantasy yangu ibaki huko huko fantasini. BUT come weekends na wife yuko nyumbani, she MUST cook, vinginevyo sili...! ntaawachia hapo misosi yao na kwenda kutafuta chips kuku kwenye nearest bar! bahati nzuri najua misosi ya wife ikoje so she simply must cook. hakuna cha kufurahisha zaidi ya msosi alopika wife.

am a good cook na mara moja moja naingia jikoni kupikia familia na wanangu. especially nipate samaki fresh toka lake victoria. (bahati nzuri jamaa kule sinza mori analeta ocsasionally). maanake wife by nature hawana samaki kwao na mimi by nature ni mvuvi, huwa naona i should not spoil the moment. karibuni wapendwa mpate mboju kwa ugali wa muhongo!
 
zamaaaani enzi zile nilikuwa nasema ntakapo oa sitataka kula chakula cha housegirl. kwamba lazima nile chakula cha wife niwapo nyumbani. kwamba hata kama anafanya kazi, tutarudi wote, tutaingia wote jikoni na kupika. but realities of life zimefanya hii fantasy yangu ibaki huko huko fantasini. BUT come weekends na wife yuko nyumbani, she MUST cook, vinginevyo sili...! ntaawachia hapo misosi yao na kwenda kutafuta chips kuku kwenye nearest bar! bahati nzuri najua misosi ya wife ikoje so she simply must cook. hakuna cha kufurahisha zaidi ya msosi alopika wife.

am a good cook na mara moja moja naingia jikoni kupikia familia na wanangu. especially nipate samaki fresh toka lake victoria. (bahati nzuri jamaa kule sinza mori analeta ocsasionally). maanake wife by nature hawana samaki kwao na mimi by nature ni mvuvi, huwa naona i should not spoil the moment. karibuni wapendwa mpate mboju kwa ugali wa muhongo!


ha ha ha... ha ha ha... hii post imenifurahisha saaana... mno...

From your post Manumbu ni dhahiri mambo yamebadilika saaana mpaka to the
extent kuna families inakatika miezi 6 haijakaa kama familia kula chakula pamoja mezani
mama karudi, baba katoka, mtoto discussion room e.t.c. Lakini wengi hawajui tu!
Hakuna kitu muhimu na cha maana kama chakula kuweza jenga ukaribu na intimancy
kati ya wanandoa na familia...

Napenda saana wanaume ambao ni wapishi na once in a while (hata kama mara moja kwa miezi kadhaa..)
akaamua kupika kile awezacho kwa ajili ya familia yake regardless kua the wife yupo... Na ni wazi
saizi kama ukitaka mkeo apike kila siku ndio ule that means aacha kazi u provide kila kitu..
utaishia kuzeka kwa majukumu kabla ya wakati wako hata kama unakula vizuri vipi
labda uwe really loaded...
 
ha ha ha... ha ha ha... hii post imenifurahisha saaana... mno...

From your post Manumbu ni dhahiri mambo yamebadilika saaana mpaka to the
extent kuna families inakatika miezi 6 haijakaa kama familia kula chakula pamoja mezani
mama karudi, baba katoka, mtoto discussion room e.t.c. Lakini wengi hawajui tu!
Hakuna kitu muhimu na cha maana kama chakula kuweza jenga ukaribu na intimancy
kati ya wanandoa na familia...



Napenda saana wanaume ambao ni wapishi na once in a while (hata kama mara moja kwa miezi kadhaa..)
akaamua kupika kile awezacho kwa ajili ya familia yake regardless kua the wife yupo... Na ni wazi
saizi kama ukitaka mkeo apike kila siku ndio ule that means aacha kazi u provide kila kitu..
utaishia kuzeka kwa majukumu kabla ya wakati wako hata kama unakula vizuri vipi
labda uwe really loaded...


umenikumbusha kitu hapa. kaka yangu mkubwa ana mazoea. asubuhi wanakaa wote mezani for breakfast yeye, mkewe na wanae. tangu watoto wakiwa wadogo mpaka leo hii wako universities wamekuwa na hii custom. imewasaidia sana kuwa karibu. nadhani i should start hii kitu. sio watoto wanalishwa na dada na nyinyi mnakimbizana huko mabafuni ili muwahi foleni. pamoja na foleni unaweza amka mapema ukapata japo 20 minutes za kukaa na watoto for breakfast kabla ya kuondoka.

hata nikiwa loaded kwa usalama na amani yangu bora wife nae aende kazini. manake akibaki nyumbani na all the energy inaelekezwa kwangu, ntashindwa kucheza mpira....! you know what I mean AshaDiii...!
 
umenikumbusha kitu hapa. kaka yangu mkubwa ana mazoea. asubuhi wanakaa wote mezani for breakfast yeye, mkewe na wanae. tangu watoto wakiwa wadogo mpaka leo hii wako universities wamekuwa na hii custom. imewasaidia sana kuwa karibu. nadhani i should start hii kitu. sio watoto wanalishwa na dada na nyinyi mnakimbizana huko mabafuni ili muwahi foleni. pamoja na foleni unaweza amka mapema ukapata japo 20 minutes za kukaa na watoto for breakfast kabla ya kuondoka.

hata nikiwa loaded kwa usalama na amani yangu bora wife nae aende kazini. manake akibaki nyumbani na all the energy inaelekezwa kwangu, ntashindwa kucheza mpira....! you know what I mean AshaDiii...!


Kama hufanyi hivyo (kula chakula pamoja na familia yako...) rekebisha haraka saaana....
Ni muhimu mno inafanya hata watoto wenyewe kupendana na kuweka ukaribu hata kama
wamepishana umri saana, maana ndio nafasi nzuri ya kuuliza siku ikoje, how they are doing
(huu msemo wa kutoongea wakati wa kula IMO itabidi ufe...) na the like... Sie nyumbani mama
Yangu aliweka utaratibu wa dinner kula pamoja whether you like it or not! Na kama hujisikii
kula then utakula matunda but mezani lazima utinge.. tusha zoea na familia yetu iko karibu saana...

Alafu Manumbu hio last para... are you saying ni muoga kucheza mpira dakika zoote 90 everyday?? lol
 
we bwana wee utacheza mpira dkk zote 90 kila siku? si hata uwanja mtauharibu. ndo maana majani hung'oka na viwanja huanza kupata vipara. kwa nini ucheze dk 90 kila siku? mpira upo na kiwanja kipo. basi siku moja moja mnakimwagilia majani yaote, yawe na rutuba ili mpira uchezwe bila madhara. AshaDii anaingia uwanjani daily na kwa dk 90 zote? hata FIFA wanasema timu zipumzike kabla ya next game...!!!

am taking the advise ya kula pamoja very seriously. the best kwangu which is more practical itakuwa breakfast. lunch, dinner will be difficult kwa sisi washinda kazini na mafaili yasiyoisha. itabidi mamii aachane na mazoea yake ya kushindwa kuamka asubuhi for whatever the reason ili tuanze hii style nzuri ya maisha na malezi. itatusaidia pia kuachana na hii misupu za asubuhi subuhi mijini ya vikuku vifaranga kisa hukunywa chai nyumbani
 
we bwana wee utacheza mpira dkk zote 90 kila siku? si hata uwanja mtauharibu. ndo maana majani hung'oka na viwanja huanza kupata vipara. kwa nini ucheze dk 90 kila siku? mpira upo na kiwanja kipo. basi siku moja moja mnakimwagilia majani yaote, yawe na rutuba ili mpira uchezwe bila madhara. AshaDii anaingia uwanjani daily na kwa dk 90 zote? hata FIFA wanasema timu zipumzike kabla ya next game...!!!

am taking the advise ya kula pamoja very seriously. the best kwangu which is more practical itakuwa breakfast. lunch, dinner will be difficult kwa sisi washinda kazini na mafaili yasiyoisha. itabidi mamii aachane na mazoea yake ya kushindwa kuamka asubuhi for whatever the reason ili tuanze hii style nzuri ya maisha na malezi. itatusaidia pia kuachana na hii misupu za asubuhi subuhi mijini ya vikuku vifaranga kisa hukunywa chai nyumbani


ha ha ha... ha ha ha... ha ha ha... NO COMMENT!!! (In Blue....)

Ila itabidi pia kuangalia na kazi ya wife/majukumu yake na mda wake wa kupumzika...
Hii issue kwa kuanzia sababu hamujaweka hio desture chagueni hata Sundays kua kama
ni waendaji kanisani basi Lunch and dinner (hata kama mna mitoko/vikao...) lazima woote
wawepo, maana hii ya asubuhi... mtaongea nini Manumbu, kila mtu yuko juu juu
mara mtoto haoni daftari, mara yeye wife kaanda ndio chai but late for work and the like...
 
ha ha ha... ha ha ha... ha ha ha... NO COMMENT!!! (In Blue....)

Ila itabidi pia kuangalia na kazi ya wife/majukumu yake na mda wake wa kupumzika...
Hii issue kwa kuanzia sababu hamujaweka hio desture chagueni hata Sundays kua kama
ni waendaji kanisani basi Lunch and dinner (hata kama mna mitoko/vikao...) lazima woote
wawepo, maana hii ya asubuhi... mtaongea nini Manumbu, kila mtu yuko juu juu
mara mtoto haoni daftari, mara yeye wife kaanda ndio chai but late for work and the like...

will try mseylf tomorw morning and see what happens and will continue from there. but daily meeting hata kama ni ya 10 mins itasaidia sana. will share my xperience

but why no comment? ....say sth
 
will try mseylf tomorw morning and see what happens and will continue from there. but daily meeting hata kama ni ya 10 mins itasaidia sana. will share my xperience

but why no comment? ....say sth


aisee will be looking forward to hio feed bak...

Alafu nilisema NO COMMENT sababu kitu ambacho ningeeleza nitakuta
huu uzi umepelekwa pande za wakubwa na sina access huko... thus
like i said NO COMMENT... Na ofcoz ni mambo ambayo siwezi sema kwa
PM... too intimate kui direct kwa mtu moja kwa moja....lol
 
Wake kwa waume... Hii itawafaa saana kwa Maandalizi ya Valentine kesho....
Make it a special day kesho... wake her/him up with smell of fresh coffee or cocoa....
Make him/her feel s/he is a true woman and you deserve one another....
NNa nothing does that better than the language of food on or off bed...All the Best....:A S-heart-2:
 
Back
Top Bottom