Kinyozi_tz
Member
- May 23, 2020
- 13
- 24
Habarini wadau nisi wachoshe ngoja niende moja kwa moja katika mada .Katika jamii mwanaume kumzidi umri mwamamke imekuwa jambo lakawaida sana katika suala zima la mapenzi na mahusiano.
Lakini linapo kuja swala mwanamke kuwa na umri mkubwa inakuwa nongwa mara anatoka na lishangazi nk ni baadhi ya maneno ambayo wanaume kwenye aina hii ya mahusiano hukutana nayo.
Mimi nataka kujua mambo yafutayo kwenye aina hiyo ya mahusiano
1. Nini madhara ya mwanamke kumzid umri mwanamke
2. Je, nisahii kuoa mwanamke anaye kuzidi umri mfano 5years wazoefu mnaweza kushare experience zenu brother wangu anataka kuoa mtu wa aina hiyo lakini familia inapinga
Akhansanteni wadau
Lakini linapo kuja swala mwanamke kuwa na umri mkubwa inakuwa nongwa mara anatoka na lishangazi nk ni baadhi ya maneno ambayo wanaume kwenye aina hii ya mahusiano hukutana nayo.
Mimi nataka kujua mambo yafutayo kwenye aina hiyo ya mahusiano
1. Nini madhara ya mwanamke kumzid umri mwanamke
2. Je, nisahii kuoa mwanamke anaye kuzidi umri mfano 5years wazoefu mnaweza kushare experience zenu brother wangu anataka kuoa mtu wa aina hiyo lakini familia inapinga
Akhansanteni wadau