Umri wa dunia ni upi hasa?

Umri wa dunia ni upi hasa?

wanatumia akili za nani hao non theist? Na wewe unatumia za nani?

Marehemu mungu wao ambaye ni "NEGATIVE GOD". Oooops alisha kufa kitambo,,,,

Marehemu mungu wao kashindwa kusema wapi alipo Mungu, basi na vikwembe vya Mbagala vinafuata mkumbo. HAKUNA HATA NON THEIST MMOJA HAPA DUNIANI MWENYE UBAVU WA KUTETEA IMANI YAO YA NEGATIVE GOD, I MEAN HAKUNA. WOTE NI WATUMIZI WA AKILI ZA MUNGU WAO HASI AMBAYE HAWANA UBAVU wa kumtete wala hawana uwezo wa kutuoneysha wapi alipo zaidi ya kuonyesha kuchanganyikiwa.

HUKO NDIKO TUNAKUUITA. AKILI TEGEMEZI.
 
Marehemu mungu wao ambaye ni "NEGATIVE GOD". Oooops alisha kufa kitambo,,,,

Marehemu mungu wao kashindwa kusema wapi alipo Mungu, basi na vikwembe vya Mbagala vinafuata mkumbo. HAKUNA HATA NON THEIST MMOJA HAPA DUNIANI MWENYE UBAVU WA KUTETEA IMANI YAO YA NEGATIVE GOD, I MEAN HAKUNA. WOTE NI WATUMIZI WA AKILI ZA MUNGU WAO HASI AMBAYE HAWANA UBAVU wa kumtete wala hawana uwezo wa kutuoneysha wapi alipo zaidi ya kuonyesha kuchanganyikiwa.

HUKO NDIKO TUNAKUUITA. AKILI TEGEMEZI.

Mungu wao ni yupi?
 
kama huna muda wa kupoteza unafanya nini kwenye hii thread? Huna cha kuchangia tulia, jiheshimu uheshimiwe!!

That is whats upppp dude.

THE THREAD IS BOGUS AND UN-MERITORIOUS. Hakuna cha maana hapa zaidi ya charlessic assumptions ambazo kamwe hamto weza kuzisaidia na empirical facts.

Mtanedlea kupigia heko huku mkitangulizwa mbele na dengue mdudu mdogo tu. Hapo ndipo utafaamu kuwa yule mdudu dhaifu anauwezo wa kukutoa roho yako weye.
 
Marehemu mungu wao ambaye ni "NEGATIVE GOD". Oooops alisha kufa kitambo,,,,

Marehemu mungu wao kashindwa kusema wapi alipo Mungu, basi na vikwembe vya Mbagala vinafuata mkumbo. HAKUNA HATA NON THEIST MMOJA HAPA DUNIANI MWENYE UBAVU WA KUTETEA IMANI YAO YA NEGATIVE GOD, I MEAN HAKUNA. WOTE NI WATUMIZI WA AKILI ZA MUNGU WAO HASI AMBAYE HAWANA UBAVU wa kumtete wala hawana uwezo wa kutuoneysha wapi alipo zaidi ya kuonyesha kuchanganyikiwa.

HUKO NDIKO TUNAKUUITA. AKILI TEGEMEZI.

Mungu wao ni yupi? Wewe unatumia za nani?
 
Biblia inazungumzia Adam na kizazi chake. Haimaanishi kuwa dunia ilianza na Adam. Maisha yalikuwepo kabla hadi siku Mungu alipoamua kutengeneza kiumbe kinachofanana naye Ndipo vurugu bin mechi ilipoanza
 
Nani kakwambia Dunia ina Umri? Hayo ndio matatizo ya kutumia akili tegemezi kuuliza maswali.

una matatizo wewe si bure, kama huna majibu si upige kimya! Wewe nani kakwambia dunia haina umri?
 
una matatizo wewe si bure, kama huna majibu si upige kimya?

Mbona unaogopa kufikiria weye? Umekuja na madai, yasaidie kwa ushaidi. I mean huwezi sema Dunia ina Umri bila ya either umesikia sehemu sehemu au unafuata mkumbo wa wale wanao tumia akili za marehemu negative god. Which one are you?
 
Alichosema Mapya Yaka ndio ukweli mtupu. Tangu Adam mpaka wakati wa gharika ilikuwa ni miaka 2000. Kutokea gharika mpaka wakati wa Yesu ni miaka mingine 2000. Tangu wakati wa Yesu ni miaka zaidi ya elfu mbili which takes us to 2014.

Ni muhimu pia kujua kwamba wakati wa gharika kuna animal species zilipotea kabisa kwa sababu Mungu slipping amiss dunia kwa gharika hakutaka baadhi ya wanyama waendelee kuishi kwani mwanadamu asingeweza kuwatawala Kama ulivyokuwa mpango wa Mungu. Hivyo akaona kwa usalama wa mwanadamu ni vyema awaangamize. Among these species were the famous Dinosseras ambao walikuwa wakubwa kuliko tembo wa leo alafu ni carnivals.
 
is so sad kuwa watoa maoni wengi wako so shallow

mtoa maada, biblia inasema HAPO MWANZO MUNGU ALIUMBA MBINGU NA NCHI. period hii iko mwanzo 1:1
all ur bing bang theories, gap analysis,.explosions.n.k viko hapo

then bible inaelezea kuwa dunia ilikuwa ukiwa..

all creation six days ni figurative language lakini kuna gaps kubwa sana in between, even bible says siku moja ni sawa na miaka 1000..

ni sawa na kusema Mungu aliumba adamu na hawa....that was just spiritual representation kuwa aliumba me na ke...lakini ukisoma biblia utagundua hakuwa adamu na hawa pekee na ndio maana kaini akapata sehemu ya kukimbilia na kuoa!!!!

tumeidharau biblia, but that is undisputable divine books inaelezea past.present na future...all dinosaurs, ukimwi, nuclear, mpaka android vimo mule. kuelewa just tune urself into position as explorer na sio kama unasoma magazeti ya shigongo

bible ni collection ya vitabu vilivyoandikwa katika span ya miaka tofauto sana....na sehemu tofauti lakini viko connected

wabe

Ni kweli dunia ina miaka mingi. Takrabini milioni kadhaa. Sidhani kama itakuwa imefika kwenye bilioni. Katika kutafiti kwangu nilifahamu kuwa hapo zamani dunia ilikuwa ikikaliwa na viumbe mbali mbali kama Dinosaurs. Sasa baada ya vita ya kule mbinguni Shetani na malaika zake wakatupwa huku duniani. Wakafanya uharibifu mkubwa sana wa dunia. Mungu alipoona hivyo akakasirika akaigandisha dunia (ice age) kwa miaka mingi sana. Wale viumbe wote waliokaa duniani wakafa ikiwa ni pamoja na hao Dinosaurs. Baada ya miaka mingi Mungu akaaamua kuifufua dunia, sasa historia mpya ya dunia inaanzia kwenye biblia kitabu cha mwanzo ambapo dunia ilikuwa giza tupu na Roho wa Bwana akikaa juu ya maji. Ndipo Mungu akasema iwepo nuru nayo nuru ikawa. Akatenga nchi kavu na bahari and story goes on and on. So dunia hii sio ya leo. (hii ni kutokana na udadavuzi wangu wa maandiko. Sina uhakika wa asilimia mia na hiki wadau)

Na Mungu alitokea wapi?,kuna uhusiano wa mawingu na mbingu?,mbinguni ni wapi?,vipi kuhusu Mars,Neptune,Pluto ,Jupiter ziliumbwa kabla au baada ya dunia na kwenye maandiko yapi?
 
Na Mungu alitokea wapi?,kuna uhusiano wa mawingu na mbingu?,mbinguni ni wapi?,vipi kuhusu Mars,Neptune,Pluto ,Jupiter ziliumbwa kabla au baada ya dunia na kwenye maandiko yapi?

maswali kama hayo huwa hayajibiki..watakwambia hayana uhusiano na binadamu!!
Wanasema akatenga maji yaliyo juu ya anga na yaliyo chini, sasa maji yaliyo juu ya anga ni yapi?
 
Na Mungu alitokea wapi?,kuna uhusiano wa mawingu na mbingu?,mbinguni ni wapi?,vipi kuhusu Mars,Neptune,Pluto ,Jupiter ziliumbwa kabla au baada ya dunia na kwenye maandiko yapi?

maswali kama hayo huwa hayajibiki..watakwambia hayana uhusiano na binadamu!!
Wanasema akatenga maji yaliyo juu ya anga na yaliyo chini, sasa maji yaliyo juu ya anga ni yapi?


[h=1]Where did God come from?[/h]
We can only partially comprehend the notion of God's existence. To do so, we must use human concepts to speak of God: "without beginning or end"; "eternal"; "infinite", etc. The Bible says that He has always existed: " . . . even from everlasting to everlasting, thou art God" (Psalm 90:2). And, "Your throne is established from of old; Thou art from everlasting" (Psalm 93:2). Quite simply, God has no beginning and no end. So, where did God come from? He didn't. He always was.
To us, the notion of time is linear. One second follows the next, one minute is after another. We get older, not younger and we cannot repeat the minutes that have passed us by. We have all seen the time lines on charts: early time is on the left and later time is on the right. We see nations, people's lives, and plans mapped out on straight lines from left to right. We see a beginning and an end. But God is "beyond the chart." He has no beginning or end. He simply has always been.
Also, physics has shown that time is a property that is the result of the existence of matter. Time exists when matter exists. Time has even been called the fourth dimension. But God is not matter. In fact, God created matter. He created the universe. So, time began when God created the universe. Before that, God was simply existing and time had no meaning (except conceptually), no relation to Him. Therefore, to ask where God came from is to ask a question that cannot really be applied to God in the first place. Because time has no meaning with God in relation to who He is, eternity is also not something that can be absolutely related to God. God is even beyond eternity.
Eternity is a term that we finite creatures use to express the concept of something that has no end -- and/or no beginning. God has no beginning or end... He is outside the realm of time.



[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD][h=3]Where did God come from?

[/h][/TD]
[TD="align: right"][FONT=arial, helvetica]"In the beginning was the Word,
and the Word was with God,
and the Word was God."
-- John 1:1
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
god-adam.jpg

[h=4]1 "NOTHING AND POSSIBILITY come in and out of bond infinite times in a finite moment." -- Summum[/h]​
[TABLE="align: right"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

[TD="bgcolor: #efefef, align: center"] The Hypotheses
of God

~

by Osho
[/TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
2 Aeons ago, the material universe and everything within it exploded into being. The creation of the material universe is the single known paramount event from which all other known events precipitate. That it happened is obvious. Why it happened is the greatest mystery you have ever known. The enigma surrounding the cause of existence has forever captivated humankind's thought, and you search for the answer to this mystery in the questions, "Who am I?" "Why am I here?" "How did the universe come into being?" "Where did God come from?"
3 The Grand Principle of Creation is presented here for your examination. It is the answer to the greatest mysteries which dwell within the thinking human mind. No record of this Principle may be found anywhere except within this book. With diligence and openness, study, learn, and apply the principles and techniques presented in this work. As you progress, you will gain an understanding and come to know the Grand Principle of Creation.
4 Before the material universe manifested there was NO THING. If there was NO THING (NOTHING), then it must have been possible for nothing to be. If it is possible for NO THING to be, then it must be possible for everything to be -- all matter, "space-time," all relativity -- all this must be possible. If there is All Possibility, then there must be the possibility of the NO THING (NOTHING). In the same fashion it must be possible for ALL THINGS to be (SUMMUM). Automatically, with no beginning and no end, do these Grand Opposites "come in and out of bond infinite times in a finite moment" -- therefore creating a series of infinite "EVENTS." These infinite EVENTS, held within the finite moment, display as infinite conceptualized energy released in an incredible, phenomenal explosion. This has been called the BIG BANG -- an EVENT.
5 A corollary to this Grand Principle is, "It is impossible for two things to join in harmony or discord without the presence of a third, for a 'BOND' must exist to unite them" -- the copulation generates SUMMUM. It is the BONDing of NOTHING and POSSIBILITY infinite times within this finite moment which is the birth of the cosmos and all subsequent EVENTS. "It takes the joining of TWO to make one -- SUMMUM."
6 Although your physicists and astronomers have determined the origin of the material universe, they are incapable of determining the MOMENT just prior to the BIG BANG. This cannot be examined by formulas, because formulas use the methodology of the material universe. Just prior to the EVENT, "space-time" and therefore "matter" did not exist, so it is impossible to make formulations based upon the non-reality of these systems. To be totally correct one would have to say there was no MOMENT just prior to the BIG BANG, for time did not exist. So when physicists try to examine the origin of the Creation, they must be confined to studying philosophical states, and they are not comfortable doing this at this time.
7 Physicists who deal in quantum mechanics state: "You cannot (objectively) observe something without changing it in the process." This statement is based upon what is termed the Uncertainty Principle, which means that when you observe one aspect of a thing (such as an electron), you are forever uncertain of any other aspects of that same thing.[SUP]1[/SUP] Consequently, they are restricted to using collections of probabilities in describing the motion of things. Further, they state that the existence of the collection of probabilities establishes what would happen if an observation occurred. (Note that the term PROBABILITIES is closely related to the term POSSIBILITIES). To the extent that the Uncertainty Principle is applied to the origin of the universe, you can readily understand the problem with the physicists' objective measurements (observations). No objective measurements are possible in solving this problem.
8 The Grand Principle of Creation embodies your SUBJECTIVE OBSERVATION of Creation Itself, in which the process of OBSERVATION between NOTHING and POSSIBILITY produces the EVENT of Creation. This condition, in which the two grand opposites are poised in opposition to one another, results in SUMMUM: the sum total of everything. When one state of being observes another, there is created an automatic connection between the two. It is this relationship between POSSIBILITY and NOTHING which generates this incredible EVENT. The EVENT includes all outward manifestations and appearances which you know under the terms of "the material universe," "the phenomena of life," "matter," "energy," "space-time," "distance," "speed," "relativity," and, in short, all that is apparent to your material senses.
9 SUMMUM, created by the copulation of NOTHING and POSSIBILITY, is SPIRIT, and may be considered and thought of as A UNIVERSAL, INFINITE, LIVING MIND. This MIND is the effect of CREATION'S "copulation," manifesting the qualities of nothingness and (SUMMUM) possibility. From the copulation of CREATION emanates the seven Great Principles of Summum: PSYCHOKINESIS, CORRESPONDENCE, VIBRATION, OPPOSITION, RHYTHM, CAUSE AND EFFECT, and GENDER. These Principles are the NATURE of the Grand Copulation of CREATION



WAPENDWA HAYO MASWALI NIMEULIZA TANGU NIKIWA NA MIAKA 11 NA NIKAPATA MAJINU BEYOND REASONABLE DOUBT

Spiritual, science, history, all can prove the existence and source of God. Nothing can never come from nothing.......is something came from something that source of someting is THE ORIGIN, is the source, is te beginning........name tat name whatever you name it.....I name is GOD ha ha ha

kuhusu ulimwengu, mars, juita, neptune vyote viko ndani ya biblia , vyote hivyo ni ulimwengu ulimwengu ni mkubwa marsa , jupita vidogo mnooooooo

kuna maGALAXY kibao, aise GOD IS GREAT and AMAZING na anawapenda sana




[/FONT]
 
Na Mungu alitokea wapi?,kuna uhusiano wa mawingu na mbingu?,mbinguni ni wapi?,vipi kuhusu Mars,Neptune,Pluto ,Jupiter ziliumbwa kabla au baada ya dunia na kwenye maandiko yapi?

maswali kama hayo huwa hayajibiki..watakwambia hayana uhusiano na binadamu!!
Wanasema akatenga maji yaliyo juu ya anga na yaliyo chini, sasa maji yaliyo juu ya anga ni yapi?


sijui mbingu una maana gani?? geographically au spiritually?

maana anga unaloliona ni OPEN SPACE???? sijakuelewa
 
Ni kweli dunia ina miaka mingi. Takrabini milioni kadhaa. Sidhani kama itakuwa imefika kwenye bilioni. Katika kutafiti kwangu nilifahamu kuwa hapo zamani dunia ilikuwa ikikaliwa na viumbe mbali mbali kama Dinosaurs. Sasa baada ya vita ya kule mbinguni Shetani na malaika zake wakatupwa huku duniani. Wakafanya uharibifu mkubwa sana wa dunia. Mungu alipoona hivyo akakasirika akaigandisha dunia (ice age) kwa miaka mingi sana. Wale viumbe wote waliokaa duniani wakafa ikiwa ni pamoja na hao Dinosaurs. Baada ya miaka mingi Mungu akaaamua kuifufua dunia, sasa historia mpya ya dunia inaanzia kwenye biblia kitabu cha mwanzo ambapo dunia ilikuwa giza tupu na Roho wa Bwana akikaa juu ya maji. Ndipo Mungu akasema iwepo nuru nayo nuru ikawa. Akatenga nchi kavu na bahari and story goes on and on. So dunia hii sio ya leo. (hii ni kutokana na udadavuzi wangu wa maandiko. Sina uhakika wa asilimia mia na hiki wadau)

Mkuu umetoa wapi maelezo yako?
 
Alichosema Mapya Yaka ndio ukweli mtupu. Tangu Adam mpaka wakati wa gharika ilikuwa ni miaka 2000. Kutokea gharika mpaka wakati wa Yesu ni miaka mingine 2000. Tangu wakati wa Yesu ni miaka zaidi ya elfu mbili which takes us to 2014.

Ni muhimu pia kujua kwamba wakati wa gharika kuna animal species zilipotea kabisa kwa sababu Mungu slipping amiss dunia kwa gharika hakutaka baadhi ya wanyama waendelee kuishi kwani mwanadamu asingeweza kuwatawala Kama ulivyokuwa mpango wa Mungu. Hivyo akaona kwa usalama wa mwanadamu ni vyema awaangamize. Among these species were the famous Dinosseras ambao walikuwa wakubwa kuliko tembo wa leo alafu ni carnivals.

Mkuu umetoa wapi maelezo yako?
 
according to geological fact ....ni 4.6 billion years
 
Back
Top Bottom