Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,018
wanatumia akili za nani hao non theist? Na wewe unatumia za nani?
Marehemu mungu wao ambaye ni "NEGATIVE GOD". Oooops alisha kufa kitambo,,,,
Marehemu mungu wao kashindwa kusema wapi alipo Mungu, basi na vikwembe vya Mbagala vinafuata mkumbo. HAKUNA HATA NON THEIST MMOJA HAPA DUNIANI MWENYE UBAVU WA KUTETEA IMANI YAO YA NEGATIVE GOD, I MEAN HAKUNA. WOTE NI WATUMIZI WA AKILI ZA MUNGU WAO HASI AMBAYE HAWANA UBAVU wa kumtete wala hawana uwezo wa kutuoneysha wapi alipo zaidi ya kuonyesha kuchanganyikiwa.
HUKO NDIKO TUNAKUUITA. AKILI TEGEMEZI.