Umri wa dunia ni upi hasa?

Umri wa dunia ni upi hasa?

sasa bible si inaonesha viumbe vyote plus binadamu waliumbwa ndani ya siku sita..? sasa kwa nini kuwe na gap kubwa kati ya miaka waliyotokea dinasours (200 mill yrs ago) na aliyotokea man (10,000 yrs) ago..?

Hawa aliumbwa baada ya Adam, hivyo inamaana Adam aliishi bila ya kuwa na binadam mwenzake hadi pale alipoumbwa Hawa. Je unataka kuniambia muda aliokaa pekeyake Adam ni ndani ya siku 6 ?
 
Kwa mujibu wa bible dunia ina miaka 8000 6000 au 10000?
 
Hawa aliumbwa baada ya Adam, hivyo inamaana Adam aliishi bila ya kuwa na binadam mwenzake hadi pale alipoumbwa Hawa. Je unataka kuniambia muda aliokaa pekeyake Adam ni ndani ya siku 6 ?

Sasa kama Biblia imeandika hivyo tufuate lipi?
Siku ya kwanza-alitenganisha nuru na giza

siku ya nne-akaumba mianga miwili mikubwa(nyota na jua), swali la kujiuliza siku ya kwanza kilichotenganisha nuru na giza ni kitu gani?

Siku ya 6-akaumba mtu kwa mfano wake, meanamume na mwanamke

Siku ya 7 akapumzika!!
 
Sasa kama Biblia imeandika hivyo tufuate lipi?
Siku ya kwanza-alitenganisha nuru na giza

siku ya nne-akaumba mianga miwili mikubwa(nyota na jua), swali la kujiuliza siku ya kwanza kilichotenganisha nuru na giza ni kitu gani?

Siku ya 6-akaumba mtu kwa mfano wake, meanamume na mwanamke

Siku ya 7 akapumzika!!


Hapo mie simo!
 
hapa lazima vichwa vifumuke, ya Kaisari mpe Kaisari
 
wanasayansi wao walikuepo enzi hizo
maandishi na uchoraji ndio ilikua ushahidi kipindi
hicho so rudi kwny bible,wanasayansi kitu gani bana!!
 
Habari zenu wakuu!!
Kwa muda sasa nimekuwa nikifutilia kuhusu mwanzo wa ulimwengu kwa maana ya sayari, mwezi/miezi, Nyota, jua pia Big bang na kinachoitwa Black Hole!!

Katika kufatilia huku nimekuja kupata mkanganyiko kwa namna biblia inavyoelezea vizazi toka kuumbwa Dunia na vilivyomo pamoja na Adam ambapo hata miaka 10,000 haifiki!! Upande wa pili ukiwafatilia wanasayansi ni kwamba kilichoanza ni Big bang(miaka 13.7bilion iliyopita), zikafuatia nyota na baadaye sayari yetu dunia(miaka 4.6 bilion iliyopita).

Je kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya kinachoitwa kitabu kitakatifu na sayansi ya ulimwengu, ni waandika biblia walidanganya au wanasayansi wanadanganya? Vipi kuhusu mabaki ya Dinosaurs yaliyogunduliwa na utafiti kuonesha hawa viumbe waliishi zaidi ya miaka 200 million iliyopita?

Mbona unagoma kutumia bongo yako chafu?

Umesha sema tokea uumbwa Adam na Eve, sasa wapi kwenye hayo maneno panazungumzia kuumbwa Dunia?
Kama hujui kusoma na kuilewa Biblia, fungo mdomo wako chafu na uliza wataalam wa Biblia na sio KUTOA ASSUMPTIONS ZA NON THEIST WAFUATA MKUMBO NA WASIO NA USHAIDI WA "NEGATIVE GOD?
 
wanasema ni 6000, hiki ni kizazi cha tatu..kila kizazi miaka 2000!!

Sasa wapi kwenye madai yako haya panasema DUNIA ILIUMBWA 6000 YEARS AGO? Mbona unashindwa hata kutumia akili ya chekechea na kusoma lugha ya kawaida tu kuwa, ADM ndie eliye umbwa 6000 years ago.

SASA NILETEE AYA KUTOKA BIBLIA INAYO SAIDIA MADAI YAKO CHAFU.

Bado hujajibu swali
 
Kama hujui jinsi sayansi inavyofanya kazi faida yako hapa jf ni nini? Jichunguze kisha uamue kuchukuwa hatua kuondoka jf maana huna faida na hutafaidika. Jisachi, una kitu

wanasayansi wao walikuepo enzi hizo
maandishi na uchoraji ndio ilikua ushahidi kipindi
hicho so rudi kwny bible,wanasayansi kitu gani bana!!
 
Wewe hapo umemsaidiaje mleta mada? Anayefata mkumbo ni yeye au wewe? Si afadhali yeye amefanya inquiry japo kidogo kuliko wewe unaburuzwa kama punda, unaamini usichokijuwa! Acha kujifanya mjuaji wakati hujui kitu.

Mbona unagoma kutumia bongo yako chafu?

Umesha sema tokea uumbwa Adam na Eve, sasa wapi kwenye hayo maneno panazungumzia kuumbwa Dunia?
Kama hujui kusoma na kuilewa Biblia, fungo mdomo wako chafu na uliza wataalam wa Biblia na sio KUTOA ASSUMPTIONS ZA NON THEIST WAFUATA MKUMBO NA WASIO NA USHAIDI WA "NEGATIVE GOD?
 
Wewe hapo umemsaidiaje mleta mada? Anayefata mkumbo ni yeye au wewe? Si afadhali yeye amefanya inquiry japo kidogo kuliko wewe unaburuzwa kama punda, unaamini usichokijuwa! Acha kujifanya mjuaji wakati hujui kitu.

Sasa utaweka mada bila ya kufanya research? Huko ndiko kufuata Mkumbo wa MIVITU ULIYO SIKIA MITAANI KWA WAPENZI WA "NEGATIVE GOD"

JIFUNZENI KUULIZA MASWALI NA SIO KUFUATA MKUMBO
 
Biblia iliandikwa na watu tu, enzi za ujinga kabla watu hawajaaanza kugundua umri halisi wa dunia.

Hivyo ni wazi kuwa imebeba makosa yaliyotokana na ujinga wa enzi za uandishi wake.

Kila anayejua kufikiri ataona hilo, hata kama imani itamtaka alifumbie macho.

Mjinga ni wewe uliye shindwa kuisoma na kuelewa Biblia. Huwezi nipa ushaidi wa UTUMBO WAKO ulio sema hapa.

WEWE MWENYE "NEGATIVE GOD" ambaye ni tegemezi ndio umebaba makosa kwa KUFUATA MKUMBO.

Pathetic non theists.
 
Vitabu vya dini vyote ni vya kusadikika tu...viliandikwa na watu kwa lengo la kuleta utaratibu wa maisha uliostaarabika na kujenga hofu ndani yetu ili tabaka tawala liweze kufanya kazi yake bila ukinzani mkubwa. Hivyo wanasayansi ndio watu sahihi kwa kuwa wanafact na evidence kias na sio theory zilizomo ndani ya biblia au kitabu kingine cha dini.
 
Usichanganye mambo ya kaisari mpe kaisari na ya mungu mpe mungu.....
 
Swali zuri sana na jibu lake ni Biblia inadanganya au niseme wakusanya maandiko walisahau baadhi ya vitu muhimu kama inavyoonyesha mabaki ya wanyama ambao walikuwapo lkn biblia haijawaonyesha kabisa. kifupi biblia imeandikwa na wanadamu hivyo kila kilichomo ndani ya biblia kimeumbwa na wanadamu. sayansi pia imefanywa na wanadamu na vipimo vyake vimewekwa na wanadamu vikiwa na ushahidi dhahiri. ninachopingana nacho katka sayansi ni mabadiliko ya kiumbo ya wanyama na binadamu. kuna wanyama walikuwapo na sasa hawapo na lakini hakuna binadamu amewahi kuwa sokwe akabadilika. inawezekana kulikuwa na viumbe wanafanana na binadamu lakini kwa sasa hayupo au walikuwapo binadamu wenye maumbo makubwa na nywele nyingi kama ilivyo sasa katika genetics. namalizia kwa kusema sayansi imeshuhudia mengi ya ukweli kuliko biblia
 
Mbona unagoma kutumia bongo yako chafu?

Umesha sema tokea uumbwa Adam na Eve, sasa wapi kwenye hayo maneno panazungumzia kuumbwa Dunia?
Kama hujui kusoma na kuilewa Biblia, fungo mdomo wako chafu na uliza wataalam wa Biblia na sio KUTOA ASSUMPTIONS ZA NON THEIST WAFUATA MKUMBO NA WASIO NA USHAIDI WA "NEGATIVE GOD?
mkuu povu la nini? Mdomo mchafu unakujaje? kama wewe ni mtaalamu wa biblia kwanini usitoe majibu? Ni mkumbo gani nilioufuata? Mimi naongeongelea sayansi na siyo habari ya non-theist!
Sasa wapi kwenye madai yako haya panasema DUNIA ILIUMBWA 6000 YEARS AGO? Mbona unashindwa hata kutumia akili ya chekechea na kusoma lugha ya kawaida tu kuwa, ADM ndie eliye umbwa 6000 years ago.

SASA NILETEE AYA KUTOKA BIBLIA INAYO SAIDIA MADAI YAKO CHAFU.

Bado hujajibu swali
Angalau umekubali kwamba binadamu wa biblia waliumbwa miaka 6000 iliyopita, Je uumbaji ulifanyika ndani ya siku ngapi? Mbingu, nchi, bahari, jua na nyota havikuumbwa ndano ya hizo siku 6?
 
Back
Top Bottom