Umri wa dunia ni upi hasa?

Umri wa dunia ni upi hasa?

Biblia iko wazi kabisa wapendwa.
Kitabu cha Mwanzo 1:1 inasema; "Hapo mwanzo Mungu aliumba Mbingu na nchi".(Kituo) wanatheolojia wanasema ilipita miaka mingi sana baada ya Mungu kuumba mbingu na nchi. Mambo mengi yalitokea mbinguni kama vile lusifa kufukuzwa mbinguni kwa sababu ya kujiinua.
Baada ya lusifa(shetani) na jeshi la takriban theluthi ya malaika kutupwa chini duniani kukaa kwa kipindi kirefu pia kuna uharibifu ambao shetani na jeshi lake walifanya katika uumbaji wa awali wa Mungu.
Mwanzo 1:2 "Nayo nchi ilikuwa ukiwa tena utupu na giza lilikuwa juu ya vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji" Miaka pia ilipita hapo katikati hadi kufikia Mungu akaanza kusema na iwe nuru, giza kutenga maji na nchi kavu na kuona vyote ni vyema.
Katika uumbaji wa Mungu inaonyesha ulimwengu uliumbwa kwanza na features zake zote, baadaye vikaumbwa viumbe hai na uoto. Na baada ya muda mrefu mwanadamu akaumbwa.

Hii miaka 6014 iliyotajwa hapo juu yenye mgawanyo wa vizazi Tangu Adam hadi gharika-Nuhu ni miaka 2000, gharika Hadi Yesu kuzaliwa ni miaka 2000, Tangu Yesu Hadi sasa ni miaka 2014. Kwa upande wangu nahisi sio hiyo tu kuna watu walikuwepo kabla ya hawa walioandikwa kwenye biblia Mfano soma mwanzo 4:14 Kaini alivyolaaniwa na pia Mwanzo 4:17 inasema Kaini akamjua mkewe nae akapata mimba....... unaweza kujiuliza Kaini alimuoa nani wakati yeye alikuwa wa kwanza kuzaliwa na wa pili akiwa ni Abeli ambaye ambeshamuua????
Anyway hayo sio sana lakini cha msingi kujua ni kuwa kwa umri unaotajwa na wanasayansi ni kweli japo kibiblia haijataja exactly years. Nakubaliana na wanasayansi.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu maana hachunguziki.
 
Kujua kwa margin of error gani na framework gani?

njia chagua mwenyewe ambayo iateleweka ikiwezekana tumia zote ili nijue kama unajua mungu hayupo ukishindwa ni imani kama ninavyoamini mimi nothing else
 
njia chagua mwenyewe ambayo iateleweka ikiwezekana tumia zote ili nijue kama unajua mungu hayupo ukishindwa ni imani kama ninavyoamini mimi nothing else

Niliyoichagua nimeieleza hapo juu lakini inaonekana hujaielewa.

For starters, Heisenbergs Uncertainty Principle forbids absolutes, hence my asking for framework and margin of error.
 
Niliyoichagua nimeieleza hapo juu lakini inaonekana hujaielewa.

For starters, Heisenbergs Uncertainty Principle forbids absolutes, hence my asking for framework and margin of error.

hujajibu kama unaamini au unajua.
kwa nini uzunguke kutoa majibu
mimi naamini mungu yupo.
wewe unajua au unaamini mungu hayupo ?
 
hujajibu kama unaamini au unajua.
kwa nini uzunguke kutoa majibu
mimi naamini mungu yupo.
wewe unajua au unaamini mungu hayupo ?

Nimejibu, tatizo hujafuta ujinga hata jibu likiwa chini ya pua yako huwezi kuliona.

Hicho ulichonukuu umeelewa nini?
 
kasome mwanzo 1na 2 vizuri. dunia iliumbwa zamani sana siku ya kwanza mungu alifanya kazi ya kutenganisha nuru na giza tu. hivyo ni kweli dunia inaweza kuwa na miaka billioni 10. na wala bible haijichanganyi na sayansi.

Sijui mungu wakati a nafanya hivo alikuwa kakaa wapi!
 
where is your stand...?
a)conclusively no God...
b)God's presence debatable

God, as in the omnipotent and omni benevolent godhead who created this universe, cannot possibly exist since his supposedly omnipotence and omni benevolence is contradicted by his supposed creation.

The idea does not pass a simple test of logical consistency, let alone ascend to the lofty towers of godly nature.
 
kwa hiyo kuna mungu wengi tu, kila imani na mungu wake?

like i said, inategemea na imani yako. ila fahamu wawepo wengi, awepo mmoja au asiwepo, hakuna atakayekuthibitishia tofauti na uaminivyo wewe. coz its a belief. no one can prove to you otherwise except yourself
 
Sijui mungu wakati a nafanya hivo alikuwa kakaa wapi!

ndugu, mbona unamzungumzia kama unamjua? do you think that He needs to sit somewhere?. think bout it... do you know what He looks like?.. does spirits need to sit?
 
God, as in the omnipotent and omni benevolent godhead who created this universe, cannot possibly exist since his supposedly omnipotence and omni benevolence is contradicted by his supposed creation.

The idea does not pass a simple test of logical consistency, let alone ascend to the lofty towers of godly nature.
by stating so...... are you in the former(a) or the latter(b)...?
 
like i said, inategemea na imani yako. ila fahamu wawepo wengi, awepo mmoja au asiwepo, hakuna atakayekuthibitishia tofauti na uaminivyo wewe. coz its a belief. no one can prove to you otherwise except yourself

So the whole thing is arbitrary?

Na.mimi.naweza kuanza kusema mungu ni Mchagga mwenye macho matatu anayeishi juu ya mlima Kilimanjaro nikawa sawa?
 
kasome mwanzo 1na 2 vizuri. dunia iliumbwa zamani sana siku ya kwanza mungu alifanya kazi ya kutenganisha nuru na giza tu. hivyo ni kweli dunia inaweza kuwa na miaka billioni 10. na wala bible haijichanganyi na sayansi.

Kwa.nini mungu mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?
 
Sasa kama Biblia imeandika hivyo tufuate lipi?
Siku ya kwanza-alitenganisha nuru na giza

siku ya nne-akaumba mianga miwili mikubwa(nyota na jua), swali la kujiuliza siku ya kwanza kilichotenganisha nuru na giza ni kitu gani?

Siku ya 6-akaumba mtu kwa mfano wake, meanamume na mwanamke

Siku ya 7 akapumzika!!

Haiwezekani kuwepo siku bila dunia. Siku ni mzunguko kamili wa dunia. Siku ina maana tu kwa kuzingatia uwepo wa dunia na mzunguko wake.
 
Back
Top Bottom