Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,451
- 15,842
Nikirudi ni suala la muda tu, nadhani unaelewa Crush? 😊Sawa my twin 😊
Nikirudi ni suala la muda tu, nadhani unaelewa Crush? 😊Sawa my twin 😊
Hapa kwenye comments au huko ulipo wewe sasa hivi?Kuna mtu kasema hapa..
Kila kitu na umri
I know, crushie 😊Nikirudi ni suala la muda tu, nadhani unaelewa Crush? 😊
Umesahau pale penye +y axis. Lakini nilitegemea ujikite kwenye ule mchoro (circumscribing line) ya nje inayokuwezesha kusema umbo hili ni mduara sio mraba/mstatili au pembe tatu au vinginevyo.huanzia kwenye sehemu ya mduara inayopatikana kwenye +x axis
Hapa hapa kwenye comment, kasemea moyoni yeyrSio lazima ujikunje sana. Subiri Mbaga Jr aje akuelekeze vizuri
Mambo ya nyeto na mke hayaingiliani, kila kitu kina nafasi yake hapoSasa umeoa mke wa kazi gani kama bado unanyetuka!
Kwahiyo kwakuwa ni hatua mpya tunaweza kufanya vyovyote tunavyojiskia katika umri wowote ?Hata hivyo naomba nikomenti kama ifuatavyo: Kwamba kila Hatua ya Kiumri unayopiga ni Hatua Mpya kabisa kwako
Mkuu kwamba mkeo anashindana na kiganja chako kama mchepuko! Au sijakuelewa vizuri ? Na je mkeo anakuruhusu ufanye punyeto! Huoni kama ni kama tusi kwake?Mambo ya nyeto na mke hayaingiliani, kila kitu kina nafasi yake hapo
La Hasha. Matamanio (Ashki) ikizidi, badala ya kutenda kosa la Kuzini(Uzinzi)Kwahiyo mkeo akisafiri badala umwombee mabaya yasimkute wewe unaamua kunyetuka, kweli!
Hakuna ushindani hapo, n kila kitu kipo kwenye nafasi yakeMkuu kwamba mkeo anashindana na kiganja chako kama mchepuko! Au sijakuelewa vizuri ? Na je mkeo anakuruhusu ufanye punyeto! Huoni kama ni kama tusi kwake?
Kwahiyo hata nikiwa na miaka 47 ni sawa kufanya punyeto!La Hasha. Matamanio (Ashki) ikizidi, badala ya kutenda kosa la Kuzini(Uzinzi)
unafanya hilo kama njia mbadala. Lakini hata hivyo bado unaweza kuwa mvumilivu na sio kila unapokuwa na hamu - ni lazima kujitawala na kuutiisha mwili wako ambalo ni Hekalu la Roho Mtakatifu - kwa mujibu wa wale wa Imani ya Kikristo.
Kati ya mke na punyeto kwako ni kipi kinatangulia kwa umuhimu?Hakuna ushindani hapo, n kila kitu kipo kwenye nafasi yake
Nyeto, tena mke ameikuta nyeto hvy lazima aipe heshima zoteKati ya mke na punyeto kwako ni kipi kinatangulia kwa umuhimu?
Ndoa zina mengi kweli 😁, yaani umemchukua mtoto wa watu kutoka kwao tena pengine kwa mkopo ili aje kushuhudia unyetukaji wako!Nyeto, tena mke ameikuta nyeto hvy lazima aipe heshima zote
Kwenye uzi wako umeweka hoja nyingi,huo mfano wako ni hoja moja tu,Mkuu muda mwingine inakubidi uwe makini hata kama maisha ni yako. Mfano wewe mwanao afikishe miaka 33 bado anakutegemea wewe kwa kila kitu, utamfurahia au utakuwa unamvumilia kwa vile ni mwanao!
Uliamua wewe kwa hiari yako au ni kulikuwa ushawishi kutoka nje. Kwa akili uliyonayo leo unaona ni sawa kwa umri ulioanza nao haya mambo au ungechelewa kidogo!duh ni muda sana mpka nishasahau