win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 9,096
- 31,017
hapana mimi ni mtaalamu kwenye sekta ya kula na kulalaJe, unajiona wewe ni mtaalamu au mwenye uzoefu mkubwa kwenye hiyo sekta!
hapana mimi ni mtaalamu kwenye sekta ya kula na kulalaJe, unajiona wewe ni mtaalamu au mwenye uzoefu mkubwa kwenye hiyo sekta!
Wanaitwa social husband/wife. For a false sense of status.Sasa umeoa mke wa kazi gani kama bado unanyetuka!
Kijamii na kisheria, umri unaokubalika binti kuanza kuitwa mama ni kuanzia miaka 18 hadi 25 na kuendelea. Chini ya miaka 18 kwanza ni mtoto kisheria, lakini to be honest, siku hizi issue sio umri tu, jamii inaangalia sana economic stability. Hata ukiwa na miaka 20 lakini huna mbele wala nyuma, bado utaonekana kituko na mzigo kwa wazazi.Tukiachana na elimu , mfano binti akizaa akiwa na miaka 15 sehemu kubwa ya jamii sikuhizi haitofurahia sana kitendo hicho kwa maana ya kwamba kuna umri ambao inakubalika akifanya hivyo. Sasa nataka nifahamu umri huo
Matako mengi au makubwa?-Umri wa kuacha kushabikia wanawake wenye matako mengi
Hapana comment zako zinanifurahisha diha 🤣🤣 ni kama majibu unayo muda wotesijakua kitu😄😄,, Kwani nina dalili za kuchanganyikiwa? 😥
huanzia kwenye sehemu ya mduara inayopatikana kwenye +x axisAma kweli kuishi kwingi ni kuona mengi. Hivi naomba nikuulize kaswali kadogo ili nijue namna nzuri zaidi ya kucoment kwenye mada yako nzuri hii.
Eti; umbo la Mduara (Circle) nyuzi 360 huwa linaanzia wapi?
Kweli -uko sahihi kabisa.. Mke wako hawezi kupatikana muda wote kwa ajili yako e.g. Kasafiri, ni mgonjwa au ni kipindi cha "mshara kwake" au wewe mume upo safarini n.k.Hawawezi kukosekana
🤣🤣 usinambie😄Hapana comment zako zinanifurahisha diha 🤣🤣 ni kama majibu unayo muda wote
Mbona tayari nimeshakuoa Twin, bado kukamilisha process yenyewe tu 😂.Nikifika umri gani unanioa twin 😅😅🤣
We umemjibu vip mleta mada nimecheka aisee🤣🤣🤣🤣 usinambie😄
Haya na huu umri wa kuweza kujitegemea pia bado ni kipengele, akifikisha miaka 30 bado anaishi kwao minong'ono inaanza. Ni umri gani huo?Umri sahihi siku hizi ni ule umri ambao binti anaweza kujitegemea au awe amepata mume anayeeleweka, sio binti kuzaa akiwa bado anategemea hela za kujikimu kutoka kwa wazazi.
ni kweli sikumbuki dear😆😆We umemjibu vip mleta mada nimecheka aisee🤣🤣
Dah haya 😅ni kweli sikumbuki dear😆😆
Kwahiyo mkeo akisafiri badala umwombee mabaya yasimkute wewe unaamua kunyetuka, kweli!Kweli -uko sahihi kabisa.. Mke wako hawezi kupatikana muda wote kwa ajili yako e.g. Kasafiri, ni mgonjwa au ni kipindi cha "mshara kwake" au wewe mume upo safarini n.k.
Sawa my twin 😊Mbona tayari nimeshakuoa Twin, bado kukamilisha process yenyewe tu 😂.
Aisee😢Nikifika umri gani unanioa twin 😅😅🤣
Bongo maisha ni kipengele sana! Kiuhalisia the magic age ya kuanza kujitegemea kijamii huwa ni kati ya miaka 23 hadi 26 yaani baada tu ya kumaliza chuo. Ukifikisha miaka 27 hadi 29 bado upo kwa wazazi ndio huwa mwanzo wa hiyo minong'ono kuwa unajidekeza.Haya na huu umri wa kuweza kujitegemea pia bado ni kipengele, akifikisha miaka 30 bado anaishi kwao minong'ono inaanza. Ni umri gani huo?
Mkuu muda mwingine inakubidi uwe makini hata kama maisha ni yako. Mfano wewe mwanao afikishe miaka 33 bado anakutegemea wewe kwa kila kitu, utamfurahia au utakuwa unamvumilia kwa vile ni mwanao!Love the life you live
Live the life you love,
Haya ni maisha yako,achana na watu watakuonaje au watakusemaje,
Life is too short,enjoy it before it's too late.