Wananzengo habarini za weekend. Nimekaaa nikatafakari namna jamii inavyotarajia tuishi tangu utotoni mpaka uzeeni, kwa maana ya kwamba kwenye kila hatua ya ukuaji wako kuna mambo unatarajiwa kufanya au kutofanya, kuwa nayo au kutokuwa nayo.
Kwafano mtu mzima anaweza kufanya kitu akaambiwa "ni utoto akikua attacha", hii ina maana kwamba mtu mzima hakosei au vipi?
Au nikifanya punyeto sasa hivi na umri huu wa miaka 31 ni sawa kwa maadili ya kitanzania au imekaaje!
Sasa naomba kuuliza kwa mazingira ya kitanzania upi ni umri ambao unakubalika ukifanya au kuwa na yafutayo ama ukifanya au kutofanya katika umri flani utaonekana kituko. Naomba nianze na haya;
-Umri wa kumaliza masomo
-Umri wa kuacha punyeto
-Umri wa kuanza kunywa pombe
-Umri wa kuwa na kipato cha uhakika
-Umri wa kuoa/kuolewa
-Umri wa kuzaa
-Umri wa kujenga nyumba yako
-Umri wa kumiliki ka-usafiri kako
-Umri wa kuacha kushabikia wanawake wenye matako mengi
-Umri wa kufa.
Kwafano mtu mzima anaweza kufanya kitu akaambiwa "ni utoto akikua attacha", hii ina maana kwamba mtu mzima hakosei au vipi?
Au nikifanya punyeto sasa hivi na umri huu wa miaka 31 ni sawa kwa maadili ya kitanzania au imekaaje!
Sasa naomba kuuliza kwa mazingira ya kitanzania upi ni umri ambao unakubalika ukifanya au kuwa na yafutayo ama ukifanya au kutofanya katika umri flani utaonekana kituko. Naomba nianze na haya;
-Umri wa kumaliza masomo
-Umri wa kuacha punyeto
-Umri wa kuanza kunywa pombe
-Umri wa kuwa na kipato cha uhakika
-Umri wa kuoa/kuolewa
-Umri wa kuzaa
-Umri wa kujenga nyumba yako
-Umri wa kumiliki ka-usafiri kako
-Umri wa kuacha kushabikia wanawake wenye matako mengi
-Umri wa kufa.