Mia.Mimi naona umri haujalishi,kwa sababu ukiwa na uwezo wa kubeba ujauzito au kusababisha ujauzito tayari niumri sahihi.
Ila utayari wako ndio jambo la msingi.
Unatakiwa uwe tayari kuwa baba /mama na pia kuwa mlezi. Hapo unaelewa inatakiwa uwe na vitu gani.