Umri gani sahihi kupata mtoto?

Umri gani sahihi kupata mtoto?

Uwezo kifedha and emotionally ready. Japo sio lazima uwe financially stable lakini uwe na uwezo wa kumpatia mtoto mazingira mazuri ya kuishi, chakula, mavazi , matibabu.

Na kuwa baba au mama kwa mtoto wako sio kumleta tu mtoto duniani, bali ni kumlea katika malezi mazuri. Mtoto anahitaji uangalizi mkubwa sana na uwepo wako.

Ni mtazamo wangu.
Nakubaliana na maoni yako mkuu, kuleta mtoto duniani lazima mtu awe na utayari coz malezi sio kazi ndogo hata kidogo!!!
 
Nazichukia hizo, kuna lijamaa fulani ni jirani yangu utakua linanitumiaga msg za hivyo..
Jirani huwezi amini mtu akianza kuandika X badala ya S mapema kabisa namtoa kwenye reli maana najua hatakuwa na cha kuniambia.

Kuna mdogo wangu alikuwa anaandika huu utumbo,mbona kanyooka
 
Jirani huwezi amini mtu akianza kuandika X badala ya S mapema kabisa namtoa kwenye reli maana najua hatakuwa na cha kuniambia.

Kuna mdogo wangu alikuwa anaandika huu utumbo,mbona kanyooka
xaxa kwn kna ttz gn xxta?
 
Una kazi na gari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyumba je,au ndio baba mwenye gari nyumba hunashida nayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawa,ofcoz sijasemea kufosi ila naongelea haki ya unyumba kwa wanandoa...mfano mtoto wa miaka 9 amepevuka kiakili kuwa na uwezo wa machaguzi ya kukubali kuolewa au kumtanulia mzee miguu?
Kuna wakati hawana hamu kabisa mkuu, usifoc kumla, muombe vizuri au mwambie leo tubadilishe maeneo unaenda nae mbali kidogo atakubali, sasa kila siku mazingira ya sex ni hayo hayo ni ngumu kukuambia ila unakuta amechoka, sex ina vitu vingi sex inataka location pia kama hamjui
 
Umri sahihi ni pale utakapokuwa tayari we mwenyewe kwa malezi nk.
 
Umemkazia sana
Akitaka asitolewe kwenye reli na watu abadilishe mwandiko.

Hizo herufi zake anazochanganya katika uandishi ni upumbavu wa hali ya juu sana.

Kupitia hizo herufi ninajaribu kupata picha juu ya uvaa wake wa suruali,viatu,mnyoo kichwani,pozi akiwa anapiga picha na mengineyo.nonsense
 
Kuna wakati hawana hamu kabisa mkuu, usifoc kumla, muombe vizuri au mwambie leo tubadilishe maeneo unaenda nae mbali kidogo atakubali, sasa kila siku mazingira ya sex ni hayo hayo ni ngumu kukuambia ila unakuta amechoka, sex ina vitu vingi sex inataka location pia kama hamjui
Hakyamama jirani umeongea point sana 🤛🤛
 
Una kazi na gari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyumba je,au ndio baba mwenye gari nyumba hunashida nayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msaidie anataka msaada
 
Back
Top Bottom