Joline
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 3,762
- 6,271
Mwambie aijieMsaidie anataka msaada
Mwambie aijieMsaidie anataka msaada
Tano nyingine nakuletea nyumbani kipenzi changuUmeona ehh, basi nipe tano tena ya nguvu
Acha akili za kitoto nani amekuambia kusoma ni kwa kutafuta kuajiriwa, kusoma inakuongezea viujuzi chalii sasa huna hata knowledge ya AB halafu unakuja kumuajiri accountant hata mahesabu hujui hata financial statement hujui angalau mwangu uwe nao, sasa si unaibiwa utafirisika naongelea kama unataka kufika mbali, inaonekana wewe lengo lako ni la short term, ukiwa mfanya biashara unatakiwa uone mbaliMay be inafaid kwa kukupa kaz ya kukulipa 200000 kwa mwezi c nichezean akili huko
Sent from my TECNO BC2 using JamiiForums mobile app
Nazisubiri na za mwaka mpya na za x mass umekua mchoyo ulikula peke yako.Tano nyingine nakuletea nyumbani kipenzi changu
Kwamba!?
Ndo mana nikasema 20yr ni miaka ya kujua vitu vidogo tu.tena akija kujitafakari baada ya miaka 10-15 yr later...atajiona alikuwa ni bonge moja ya phaller.Acha akili za kitoto nani amekuambia kusoma ni kwa kutafuta kuajiriwa, kusoma inakuongezea viujuzi chalii sasa huna hara knowledge ya AB halafu unakuja kumuajiri accountant hata mahesabu hujui si utafirisika naongelea kama unataka kufika mbali, inaonekana wewe lengo lako ni la short term, ukiwa mfanya biashara unatakiwa uone mbali
Atakutia stress huyu chalii, amekuambia ana nyumba na gari ila hajui mtoto apate akiwa ana umri gani kuna vitu vinachekeshaMwambie aijie
Za mwaka mpkya na Christmas 🎄 niliwapa waliokuwa available..wewe si ulibanwa😅😅Nazisubiri na za mwaka mpya na za x mass umekua mchoyo ulikula peke yako.
Atakutia stress huyu chalii, amekuambia ana nyumba na gari ila hajui mtoto apate akiwa ana umri gani kuna vitu vinachekesha
Kitoto hicho hata uandishi wake tu ni tabu, itakua nyumba na gari ni mali ya urithiNdo mana nikasema 20yr ni miaka ya kujua vitu vidogo tu.tena akija kujitafakari baada ya miaka 10-15 yr later...atajiona alikuwa ni bonge moja ya phaller.
Pengine hata hajarithishwa bado..Labda anapewa aendeshe endeshe tu na nyumba anatumwa akachukue kodi😅😅Kitoto hicho hata uandishi wake tu ni tabu, itakua nyumba na gari ni mali ya urithi
Akaze hizo nati kichwani, maana umekua mwanaume legelege
Kumbe tayari una gari, huyo aliyekuzidi umri anasemaje?
Rudi kwanza shuleni ukajifunze matumizi sahihi ya S na X ndipo unirudie
Sawa maan cjaxom xan labda nakosea coz cna elimu kubwa
Kudadeki zako ...rudi darasa la tatu huko ndiko kunakoanzia kuumba mwandiko pamoja na maneno na herufi sahihi
Andika kiume acha ufala