ulaya12
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 834
- 909
NAPE ni mwanasiasa mzuri sana akiacha mihemko kama ile ya bunge live na bao la mkono huwezi ukamlinganisha na jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Taratibu vile vile mkuu.Taratibu mkuu.
Usipanic na usikasirike.
Hata mpendwa Rais wetu Mh J P Magufuli kesha sema, msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
Na ukweli huwa ni stubborn, huwezi kuukana mchana kweupe.
Mada hapa ni kuwakaribisha chamani wachumia tumbo wasio na uchungu na CCM.
Na katika mada hii nilisema, tunapanda michongoma kwa nia ya kuvuna maembe!
Thats the crux of the matter and the underlying paradox of the principle!
Mamluki hawajawahi kushinda vita, maana, tofauti na wana CCM damu damu, wao wangependa ku enjoy their pay na hawana nia ya kukifia chama.
Ukiongelea ya Nape per se, mtu aliyeibua mjadala huu, ni kujiside track na kundeleza your parochial view of the debate.
See the bigger picture.
Hapa ndio upinzani huwa hueleweki, leo Nape wa kumshabikia kweli kisa tu anaenda tofauti na wenzake wa ccm akiwa ndani ya hiyo hiyo ccm?
....Fitna kwangu mwikoNape anadumisha ahadi muhimu ya mwanaccm inayosema, nitasema kweli daima, uwongo kwangu ni mwiko.......
Huyu ndo ni wewe au role model wako?Mbona siasa za kibanda huwa mnaziogopa sana.
kama kweli unaamini hicho ni kibanda mwambie aruhusu mikutano uone... mwehu kabisa wewe. we unasaidiwa na marefa . usalama . policcm nk unakaa unajisifu ati kibanda wakati hata wakuu wa wilaya na madas unaazima toka hapo tena kwa kununua?Mbona siasa za kibanda huwa mnaziogopa sana.
Tatizo ni writing skills zako. No serialism. hujngi hoja ya exodus tunayoiona bali kumtetea Nape kama mwana CCM halisi. Forgetting the fact that he is a persistent failure of his own political inclination. Hao unaowaona kama wahamiaji baadhi walikuwa na kadi za CCM kabla ya Nape! Kutohama siyo uzalendo sana kuliko wanaohama. Unaingia chama kinachoeleweka ni chama cha kupiga dili, halafu humo ndani unajidai wewe una vision tofauti, umeitoa wapi? That defines personal dig up of the basics of your own survival cause.Taratibu mkuu.
Usipanic na usikasirike.
Hata mpendwa Rais wetu Mh J P Magufuli kesha sema, msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
Na ukweli huwa ni stubborn, huwezi kuukana mchana kweupe.
Mada hapa ni kuwakaribisha chamani wachumia tumbo wasio na uchungu na CCM.
Na katika mada hii nilisema, tunapanda michongoma kwa nia ya kuvuna maembe!
Thats the crux of the matter and the underlying paradox of the principle!
Mamluki hawajawahi kushinda vita, maana, tofauti na wana CCM damu damu, wao wangependa ku enjoy their pay na hawana nia ya kukifia chama.
Ukiongelea ya Nape per se, mtu aliyeibua mjadala huu, ni kujiside track na kundeleza your parochial view of the debate.
See the bigger picture.
Survival cause?Tatizo ni writing skills zako. No serialism. hujngi hoja ya exodus tunayoiona bali kumtetea Nape kama mwana CCM halisi. Forgetting the fact that he is a persistent failure of his own political inclination. Hao unaowaona kama wahamiaji baadhi walikuwa na kadi za CCM kabla ya Nape! Kutohama siyo uzalendo sana kuliko wanaohama. Unaingia chama kinachoeleweka ni chama cha kupiga dili, halafu humo ndani unajidai wewe una vision tofauti, umeitoa wapi? That defines personal dig up of the basics of your own survival cause.