Uliza kodi yake sasa mugabe anayolipa kwa mwezi...ni zaidi ya bei ya dreamliner hahahaaaKidumuu..na kibanda cha kutafunia ruzuku kidumuu!!
View attachment 841955
Mkuu unafikiria kwa kutumia Kichwa au mashavuKidumuu..na kibanda cha kutafunia ruzuku kidumuu!!
View attachment 841955
jumba la hela hiloKidumuu..na kibanda cha kutafunia ruzuku kidumuu!!
View attachment 841955
Hela zimepigwa.jumba la hela hilo
kimakusudi imewekwa ionekane hawana hela
Kosa lenu kubwa mtakalokuja kulijutia milele ni kukataa kitenganisha kofia ya Urais na chama, mngekuwa mnasikiliza ushauri kwa aina ya Rais aliyepo mlipaswa kumuacha JK aongoze chama yeye ni mwanasiasa siyo huyu ambaye hajawahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.Nilipokuwa kijana wa CCM tuliwahi kuwa na kile kitu kinaitwa kiburi ya chana, kunywa maji ya bendera, na kutetea kwa hali yoyote nchi na chama.
Hizo ndo siku chama kilikuwa chama.
Tuliandamana miaka hiyo kutetea ukombozi kusini mwa Afrika na walioshirikiana na makaburu tuliwapasha kisawasawa.
Nakumbuka Ufaransa ikishirikiana na makaburu, waziri wao wa mambo ya nje alikuja Tanzania kutoa misaada.
Vijana tulimwambia "Go home". Yule waziri akatoa shinikizo Serikali imwombe radhi. Serikali ikakataa, Jamaa akaondoka. Hiyo ndo ilikuwa jeuri ya vijana wa chama.
Kwa leo Nape naweza kumuinguza kuwa ni kati ya vijana wachache wenye uthubutu wa si tu kuelewa, bali kutetea chama na itikadi yake.
Sasa leo tunaona vijana toka vyama mbali mbali wakitimkia CCM.
HATUJUI misimamo yao, hatujui itikadi zao.
Tunawapokea na kuwapa vyeo, na kuwaacha walio sota na chama.
Watu wanaohamia CCM zaidi sana ni wachumia tumbo, na tunawaenzi sasa.
Naunga mkono msimamo kama ule wa Nape.
Hakika tutavuna tunachopanda. Hatuwezi kupanda michongoma, halafu tuvune maembe.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Wahamiaji haramu wamenasa kwenye tego la CCM.2020 wale wote waliohamia CCM watahangaika sana, maana hapo ndipo katiba itatumika kwenye kutafuta wagombea wa majimbo na watajikuta wanaambulia patupu.
Nape ni mwanasiasa na amekulia ccm, ndio kijana pekee aliweza kumtunishia msuli Lowasa mpaka Makamba na Emanuel Nchimbi wakamdhibiti.Magufuli anamuogopa sana Nape
Ukweli utabaki, sisi wana CCM wa siku nyingi tunastaajabishwa na mwenendo huu.Kosa lenu kubwa mtakalokuja kulijutia milele ni kukataa kitenganisha kofia ya Urais na chama, mngekuwa mnasikiliza ushauri kwa aina ya Rais aliyepo mlipaswa kumuacha JK aongoze chama yeye ni mwanasiasa siyo huyu ambaye hajawahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
Ila all in all kwa kifupi ukiangalia hoja za wanaccm humu jamvini hata ningekuwa ni mimi siwezi kuwapa madaraka, vijana wa ccm na wazee ni bora ya wazee wana akili active kuliko vijana ushahidi upo humu wa kutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahamiaji haramu wamenasa kwenye tego la CCM.
Wasomi wanasema lazima uwe objective in thinking.Siku akiongea usiyoyapenda uje hapa jukwaani kumpongeza pia.
KioskKidumuu..na kibanda cha kutafunia ruzuku kidumuu!!
View attachment 841955
Naoe huwa anatoa kavu live, you take it or leave itNape ni mwanasiasa na amekulia ccm, ndio kijana pekee aliweza kumtunishia msuli Lowasa mpaka Makamba na Emanuel Nchimbi wakamdhibiti.
Nape ndio ilibidi awe mwenyekiti wa Uvccm Taifa baada ya Benno Malisa lakini kutokana na siasa chafu za ccm wakaingiza mizengwe uvccm wajakabidhiwa mashoga kutoka Zanzibar waiongoze kisa kumkomowa Nape.
Haya ni moja ya makosa makubwa sana aliyofanya JK kwa kuendekeza siasa za makundi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais Magufuli aliwahi kusema, Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.Huyu Nape alishafukuzwa uvccm,Makamba na kikwete wakambeba,atatpata tabu sana kwenye kufikiriwa kugombea ubunge.Hatufai