mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
Akigombea urais anapata
Nataka kupima uwezowake. Hivi,ana elimu gani rafiki yetu huyu? Kusota na chama ni sawa lakini kwa kiwango cha kila muhusika. Usizibue vyoo kwa ufasaha baadaye uombe kutumia choo cha bedroom ya mwajili wako! Kila mtu ana kazi anayoiweza.Nilipokuwa kijana wa CCM tuliwahi kuwa na kile kitu kinaitwa kiburi ya chama, kunywa maji ya bendera, na kutetea kwa hali yoyote nchi na chama.
Hizo ndo siku chama kilikuwa chama.
Tuliandamana miaka hiyo kutetea ukombozi kusini mwa Afrika na walioshirikiana na makaburu tuliwapasha kisawasawa.
Nakumbuka Ufaransa ikishirikiana na makaburu, waziri wao wa mambo ya nje alikuja Tanzania kutoa misaada.
Vijana tulimwambia "Go home". Yule waziri akatoa shinikizo Serikali imwombe radhi. Serikali ikakataa, Jamaa akaondoka. Hiyo ndo ilikuwa jeuri ya vijana wa chama.
Kwa leo Nape naweza kumuinguza kuwa ni kati ya vijana wachache wenye uthubutu wa si tu kuelewa, bali kutetea chama na itikadi yake.
Sasa leo tunaona vijana toka vyama mbali mbali wakitimkia CCM.
HATUJUI misimamo yao, hatujui itikadi zao.
Tunawapokea na kuwapa vyeo, na kuwaacha walio sota na chama.
Watu wanaohamia CCM zaidi sana ni wachumia tumbo, na tunawaenzi sasa.
Naunga mkono msimamo kama ule wa Nape.
Hakika tutavuna tunachopanda. Hatuwezi kupanda michongoma, halafu tuvune maembe.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Umesahau alikuwa mmoja wa waanzilishi wa CCJ wakati akiwa katika msoto Ofisi ndogo Lumumba!Nape anadumisha ahadi muhimu ya mwanaccm inayosema, nitasema kweli daima, uwongo kwangu ni mwiko.......
Hata kina Musuguri walioongoza majeshi yetu kumpiga Nduli Idi Amin na wanajeshi wa Libya hawakuliona darasa, hawakujua kusoma na kuandika.Nataka kupima uwezowake. Hivi,ana elimu gani rafiki yetu huyu? Kusota na chama ni sawa lakini kwa kiwango cha kila muhusika. Usizibue vyoo kwa ufasaha baadaye uombe kutumia choo cha bedroom ya mwajili wako! Kila mtu ana kazi anayoiweza.
Hii ndio hofu ya sisi wana CCM damu damu.
Huwezi pandikiza masalia ya CHADEMA na bado ukabaki na chama.
CCM sasa inakuwa gulio la kupata vyeo kwa wapinzani.
Nadhani huijui CCM na mbinu za ushindi! Aidha ni hatari kuwa mwanachama kimaslahi. Ati wapate vyeo wanaccm wazamani siyo wanaojiunga sasa! Mawazo haya si ya kuendekeza. Uanachama ni itikadi siyo vyeo. Nape Nnauye unakumbuka akina Msh.., wa mambo ya Nje mbona alikitumikia chama bila kudai cheo hadi kustaafu? Je, Marehemu Hiza hakutoka CUF akapewa cheo, leo hii Kwanini iwe nongwa? Mifano ni mingi. Nakuunga mkono kuhusu umuhimu wa Elimu ila kuhusu wahamiaji ni vyema wakapewa vyeo kuvuta wengine wakati nyie mkiwachunguza uadilifu wao.Nilipokuwa kijana wa CCM tuliwahi kuwa na kile kitu kinaitwa kiburi ya chama, kunywa maji ya bendera, na kutetea kwa hali yoyote nchi na chama.
Hizo ndo siku chama kilikuwa chama.
Tuliandamana miaka hiyo kutetea ukombozi kusini mwa Afrika na walioshirikiana na makaburu tuliwapasha kisawasawa.
Nakumbuka Ufaransa ikishirikiana na makaburu, waziri wao wa mambo ya nje alikuja Tanzania kutoa misaada.
Vijana tulimwambia "Go home". Yule waziri akatoa shinikizo Serikali imwombe radhi. Serikali ikakataa, Jamaa akaondoka. Hiyo ndo ilikuwa jeuri ya vijana wa chama.
Kwa leo Nape naweza kumuinguza kuwa ni kati ya vijana wachache wenye uthubutu wa si tu kuelewa, bali kutetea chama na itikadi yake.
Sasa leo tunaona vijana toka vyama mbali mbali wakitimkia CCM.
HATUJUI misimamo yao, hatujui itikadi zao.
Tunawapokea na kuwapa vyeo, na kuwaacha walio sota na chama.
Watu wanaohamia CCM zaidi sana ni wachumia tumbo, na tunawaenzi sasa.
Naunga mkono msimamo kama ule wa Nape.
Hakika tutavuna tunachopanda. Hatuwezi kupanda michongoma, halafu tuvune maembe.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Hivi Vyama vinapewa ruzuku ili vijenge ofisi?Kama ni hivyo, sasa inakuwaje vyama vingine havipewi?Kidumuu..na kibanda cha kutafunia ruzuku kidumuu!!
View attachment 841955
Hata Lowassa alipewa nafasi kina dr Slaa wakatoswa.Nilipokuwa kijana wa CCM tuliwahi kuwa na kile kitu kinaitwa kiburi ya chama, kunywa maji ya bendera, na kutetea kwa hali yoyote nchi na chama.
Hizo ndo siku chama kilikuwa chama.
Tuliandamana miaka hiyo kutetea ukombozi kusini mwa Afrika na walioshirikiana na makaburu tuliwapasha kisawasawa.
Nakumbuka Ufaransa ikishirikiana na makaburu, waziri wao wa mambo ya nje alikuja Tanzania kutoa misaada.
Vijana tulimwambia "Go home". Yule waziri akatoa shinikizo Serikali imwombe radhi. Serikali ikakataa, Jamaa akaondoka. Hiyo ndo ilikuwa jeuri ya vijana wa chama.
Kwa leo Nape naweza kumuinguza kuwa ni kati ya vijana wachache wenye uthubutu wa si tu kuelewa, bali kutetea chama na itikadi yake.
Sasa leo tunaona vijana toka vyama mbali mbali wakitimkia CCM.
HATUJUI misimamo yao, hatujui itikadi zao.
Tunawapokea na kuwapa vyeo, na kuwaacha walio sota na chama.
Watu wanaohamia CCM zaidi sana ni wachumia tumbo, na tunawaenzi sasa.
Naunga mkono msimamo kama ule wa Nape.
Hakika tutavuna tunachopanda. Hatuwezi kupanda michongoma, halafu tuvune maembe.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Huyu Nape alishafukuzwa uvccm,Makamba na kikwete wakambeba,atatpata tabu sana kwenye kufikiriwa kugombea ubunge.Hatufai
Ahadi ya bavicha ni ipi?Nape anadumisha ahadi muhimu ya mwanaccm inayosema, nitasema kweli daima, uwongo kwangu ni mwiko.......
[emoji23][emoji23][emoji23],hakika!
Check foundation ya mlingoti wa bendera ilivyoraruka rangi, mungu anawaona
Ndoto za alinachaHapa unaonyesha wanaofikiriwa ubunge huko ccm ni makondoo. Wale wajasiriatumbo wanaofumbia macho uovu wowote ili mradi wanabaki na vyeo vyao. Nape pamoja na unafiki wake, lakini kajitolea kuzungumzia wanaccm wengi wanawanaojua ccm ni chama cha siasa. Hiyo ccm ukawa ya Magu inateyotegemea vyombo vya dola kujiweka madarakani lazima italeta machafuko siku za mbeleni.
Waliporudi kumuondoa Amin walidai vyeo eti tu kwa sababu wamefanya makubwa? Unamtetea mtu mzembe eti kwa sababu kajitolea makubwa huko kwenye chama, ndo adeke? Yaani adhalilishe uwaziri kwa mafanikio yake ya chini huko alikokuwa? Aliweza hayo ya chini sasa ndo alazimishe uwaziri kuwa mali yake. Elimu duni!!Hata kina Musuguri walioongoza majeshi yetu kumpiga Nduli Idi Amin na wanajeshi wa Libya hawakuliona darasa, hawakujua kusoma na kuandika.
Zibua akili yako kwa hayo mengine.
Mkuu umeeleweka hawa vijana wa CCM mtandaoni ni vilaza wa hali ya juu JPM ni bora aendelee kuteua nje ya hawa watuKosa lenu kubwa mtakalokuja kulijutia milele ni kukataa kitenganisha kofia ya Urais na chama, mngekuwa mnasikiliza ushauri kwa aina ya Rais aliyepo mlipaswa kumuacha JK aongoze chama yeye ni mwanasiasa siyo huyu ambaye hajawahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
Ila all in all kwa kifupi ukiangalia hoja za wanaccm humu jamvini hata ningekuwa ni mimi siwezi kuwapa madaraka, vijana wa ccm na wazee ni bora ya wazee wana akili active kuliko vijana ushahidi upo humu wa kutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishindwa kusoma kwa kutojua kusoma unasingizia aliyeandika; eti hajui kuandika! Teh teh teh!Kajifunze Kuandika kwanza [emoji48][emoji48]
Taratibu mkuu.Waliporudi kumuondoa Amin walidai vyeo eti tu kwa sababu wamefanya makubwa? Unamtetea mtu mzembe eti kwa sababu kajitolea makubwa huko kwenye chama, ndo adeke? Yaani adhalilishe uwaziri kwa mafanikio yake ya chini huko alikokuwa? Aliweza hayo ya chini sasa ndo alazimishe uwaziri kuwa mali yake. Elimu duni!!