Uchaguzi 2020 Umoja wa wanafunzi TAHLISO wamuunga mkono Magufuli

Hao ni viongozi lkn hakuna mwanafunzi anaweza kumpigia kura Magufuli .....Msitake kujitekenya na kucheka wenyewe

Km walivohangaika kununua wabunge na madiwani wa chadema lkn wakashindwa kuwanunua wananchi....
Wewe umejuaje kama hawatanunukiwa?

Ninachojua uchaguzi bado mdi tutajua kama hawajanunuliwa wakati wa kumaliza uchaguzi
 
Hao wanafunzi wamelipwa ili watoe huo upupu ila kimsingi hakuna mwanachuo mwenye akili timamu atamuunga mkono magu.
Nina wadogo angu watatu wapo vyuo tofauti wamenihakikishia kuwa huko chuo hali ya ccm ni ngumu sana
 
Unakielewa hata ulichokiandika? Umeangalia video? Unajua kauli ya umoja wowote ni ya nani? OOooh, CHADEMA ni wehu tu na umethibitisha.
Nakuona unavyo ishi hapo kitaa wakati unashinda lumumba ukifagia
FB_IMG_1595186692594.jpg
 
Hao ni viongozi lakini hakuna mwanafunzi anaweza kumpigia kura Magufuli... Msitake kujitekenya na kucheka wenyewe

Kama walivohangaika kununua wabunge na madiwani wa chadema lakini wakashindwa kuwanunua wananchi ...
Watampigia yule bingwa wa maigizo?
 
Lazima wamuunge mkono mh. Maana nasikia hapa juzi wanafunzi 'wameongezewa' boom lao kwa 100%.

Lazima wampende sana mh. Rais
 
Kuna member mmoja alidai wanafunzi wote wanamuunga mkono Lissu, lakini ukweli wenyewe ni huu hapa.-
View attachment 1532928

Wanafunzi wametoa msimamo kuelekea uchaguzi Mkuu 2020, Msimamo wao ni kuwa wanaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema kumuunga mkono Rais John Pombe Joseph Magufuli
Awamu ya kidikteta hakuna jiwe litakalosalia ,kila goti litapigwa.
 
Kuna member mmoja alidai wanafunzi wote wanamuunga mkono Lissu, lakini ukweli wenyewe ni huu hapa.-
View attachment 1532928

Wanafunzi wametoa msimamo kuelekea uchaguzi Mkuu 2020, Msimamo wao ni kuwa wanaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema kumuunga mkono Rais John Pombe Joseph Magufuli

Hii ni aibu, how do you think you can influence free will ya watu?
 
Back
Top Bottom