Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kajiunga leo hii 10.8.2020 na ana post ya 4Kijana ndo una mwezi JF eti?
Kajiunga leo hii 10.8.2020 na ana post ya 4Kijana ndo una mwezi JF eti?
10.8.2020 halafu unaingia kwa kutuletea upotolo wa LumumbaKWani wewe ulijiandikisha ulipata uanachama wa mwaka ghafla? Wehu bwana, akili fupi sana.
Wewe umejuaje kama hawatanunukiwa?Hao ni viongozi lkn hakuna mwanafunzi anaweza kumpigia kura Magufuli .....Msitake kujitekenya na kucheka wenyewe
Km walivohangaika kununua wabunge na madiwani wa chadema lkn wakashindwa kuwanunua wananchi....
Nina wadogo angu watatu wapo vyuo tofauti wamenihakikishia kuwa huko chuo hali ya ccm ni ngumu sanaHao wanafunzi wamelipwa ili watoe huo upupu ila kimsingi hakuna mwanachuo mwenye akili timamu atamuunga mkono magu.
Nakuona unavyo ishi hapo kitaa wakati unashinda lumumba ukifagiaUnakielewa hata ulichokiandika? Umeangalia video? Unajua kauli ya umoja wowote ni ya nani? OOooh, CHADEMA ni wehu tu na umethibitisha.
Wenye mapenzi mema! My foot!Kuna member mmoja alidai wanafunzi wote wanamuunga mkono Lissu, lakini ukweli wenyewe ni huu hapa.-
View attachment 1532928
Wanafunzi wametoa msimamo kuelekea uchaguzi Mkuu 2020, Msimamo wao ni kuwa wanaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema kumuunga mkono Rais John Pombe Joseph Magufuli
Watampigia yule bingwa wa maigizo?Hao ni viongozi lakini hakuna mwanafunzi anaweza kumpigia kura Magufuli... Msitake kujitekenya na kucheka wenyewe
Kama walivohangaika kununua wabunge na madiwani wa chadema lakini wakashindwa kuwanunua wananchi ...
JidanganyeKama wanafunzi wamemua kumuunga mkono JPM wazazi si ndio kabisa hutowaambia kitu kwa JPM.
Huko vyuoni kuna wanaccm pia. Ndio hao TahlisoKuna member mmoja alidai wanafunzi wote wanamuunga mkono Lissu, lakini ukweli wenyewe ni huu hapa.-
View attachment 1532928
Wanafunzi wametoa msimamo kuelekea uchaguzi Mkuu 2020, Msimamo wao ni kuwa wanaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema kumuunga mkono Rais John Pombe Joseph Magufuli
Lissu kwa maigizo yuko vzr sana aliokota mpk vichwa vya treni kule bamdarini.Watampigia yule bingwa wa maigizo?
Hao wanafunzi wamelipwa ili watoe huo upupu ila kimsingi hakuna mwanachuo mwenye akili timamu atamuunga mkono magu.
Delete ccm Oct 28Kuna member mmoja alidai wanafunzi wote wanamuunga mkono Lissu, lakini ukweli wenyewe ni huu hapa.-
View attachment 1532928
Wanafunzi wametoa msimamo kuelekea uchaguzi Mkuu 2020, Msimamo wao ni kuwa wanaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema kumuunga mkono Rais John Pombe Joseph Magufuli
Awamu ya kidikteta hakuna jiwe litakalosalia ,kila goti litapigwa.Kuna member mmoja alidai wanafunzi wote wanamuunga mkono Lissu, lakini ukweli wenyewe ni huu hapa.-
View attachment 1532928
Wanafunzi wametoa msimamo kuelekea uchaguzi Mkuu 2020, Msimamo wao ni kuwa wanaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema kumuunga mkono Rais John Pombe Joseph Magufuli
Kuna member mmoja alidai wanafunzi wote wanamuunga mkono Lissu, lakini ukweli wenyewe ni huu hapa.-
View attachment 1532928
Wanafunzi wametoa msimamo kuelekea uchaguzi Mkuu 2020, Msimamo wao ni kuwa wanaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema kumuunga mkono Rais John Pombe Joseph Magufuli
Hao hawanatofauti na wajumbeHao wanafunzi wamelipwa ili watoe huo upupu ila kimsingi hakuna mwanachuo mwenye akili timamu atamuunga mkono magu.