mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Nashindwa kufikiria mambo yangekuwaje endapo tamko hilo lingekuwa la kuunga mkono CHADEMA. Leo watu wangetoa mapovu. Wengine wangesema msiingize siasa vyuoni. Akina Sirro nao wangejitokeza wakitoa onyo kali dhidi ya uvunjivu wa amani. Yaani kila mtu angekuwa anatoa povu lake. Lakini kwa kuwa anayeungwa mkono ni Magufuli, hakuna ubaya wowote!