Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,798
- 12,240
Pumbavu hujatoa hata thumni wee gamba!Ni jambo jema!
Tumekuchangia lakini usije kutuangusha kama wale akina Easter wawili na Halima Mdee tuliowatoa Segerea kwa mia mbili mia mbili zetu.
Pumbavu hujatoa hata thumni wee gamba!Ni jambo jema!
Tumekuchangia lakini usije kutuangusha kama wale akina Easter wawili na Halima Mdee tuliowatoa Segerea kwa mia mbili mia mbili zetu.
Chadema ni matapeli hamna kitu ni upuuzi mtupuChadema ni mpango wa Mungu
Jaribu kuficha ujinga wako! Binadamu asiye mwanasiasa ni mfu!Mhhh! Badala ya kuchangashina kwajili ya maendeleo, tumebaki kuwahangaikia wanasiasa, sijui lini tutabadalika. Kwa nini wanasiasa wasichangishane wao kwa wao? Watu kama nyinyi ndo wa kwanza kuleta nyuzi za maisha magumu. Ila tunamshukuru mola kwa kutupa rais aliyeleta mabadiliko mengi
Mnawachangisha wananchi hao hao mnasema hawana hela sababu wamebanwa na Magufuli??
Kwa nini Mbowe asitoe tu hiyo hela kwa sababu ana utajiri wa kurithi kutoka kwa baba yake?
Katafute bwana akuliwaze, ya chadema haya kuhusu..Acha hasira kamanda,michango inaliwa sana.
Chama ndio kimemfunga?We bwege kwani chama chetu hakina mavumba?
Usituambukize ufukara wa familia yako. Mbowe amechanga nyingi sana au unataka na wewe akuchangie?Mnawachangisha wananchi hao hao mnasema hawana hela sababu wamebanwa na Magufuli??
Kwa nini Mbowe asitoe tu hiyo hela kwa sababu ana utajiri wa kurithi kutoka kwa baba yake?
Pale itakapotokea hakuna kuwabambikizia kesi zisizo na dhamana wananchi wataendelea kuwaelewa na kuwachangiaMhhh! Badala ya kuchangashina kwajili ya maendeleo, tumebaki kuwahangaikia wanasiasa, sijui lini tutabadalika. Kwa nini wanasiasa wasichangishane wao kwa wao? Watu kama nyinyi ndo wa kwanza kuleta nyuzi za maisha magumu. Ila tunamshukuru mola kwa kutupa rais aliyeleta mabadiliko mengi
Uzuri wetu tunaanza kumsingizia mtu jambo halafu tunapodhani watu wameamini huo uongo tunaanza kulaani na kuupinga kwa nguvu zote ule uongo tunaodhani umekuwa ukweli. Hata siku moja uongo hata ukiupaka mafuta na viungo vingi hautakuwa ukweli. Na sio wote wanaodanganyika.View attachment 1690755
Ili kuweka kumbukumbu vizuri , Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Nyamagana Mkoa wa Mwanza Kamanda Mwakihaba alishitakiwa kwa makosa ya mtandao baada ya kusambaza taarifa za ofisa kipenyo aliyeonekana karibu na Hospitali aliyolazwa Mh Tundu Lissu jijini Nairobi baada ya kushambuliwa kwenye eneo la bunge mwaka 2017 , inasemekana ofisa huyo alitumwa kwenda Nairobi kummalizia Tundu Lissu baada ya kushindikana kumuua Dodoma.
Taarifa ya Mwakihaba iliishitua Serikali ya Kenya ambapo ikaamua kuongeza ulinzi kwenye hospitali hiyo jambo lililowaudhi baadhi ya wakuda wa Tanzania , Mwakihaba akakamatwa na kushitakiwa mahakamani ambapo amehukumiwa kifungo au kulipa faini ya tsh mil 5.
Kampeni ya kulipa faini hiyo inayoendeshwa na Chadema kanda ya Victoria inakaribia kukamilika , ambapo mfungwa huyo anatarajiwa kutolewa gerezani kesho .
Mungu ibariki Chadema.
Tajeni kiasi mnachohitajiNa yule wa mbeya mkatoe pia ndugu Mdude chadema
shida yako nini ?Mleta uzi,
Hapo kiasi kilichopatikana ni zaidi ya hapo, kwa waliochangia kupitia namba iliyotahwa anzisheni pettion ya kuomba mtadao wa simu inayodaiwa kupokea mchango wawape hesabu kamili ya kiasi kilichopitia akaunti hiyo na muamala wa mkupuo au kidogo kidogo tangu kampeni ianzishweili mjue mbivu na mbichi. Mtabaki vinywa wazi lakini kiasi kianchodaiwa kuchangishwa ni Tsh 4,774,289/00 kasoro laki
mbili na ushee kufikia lengo.
'Zimwi likujualo halikuli likakwisha' Guilty minds are always frustrated and exposed by illusions features.
Ya Nini yote,mboni ATCL haikaguliwi na CAGMleta uzi,
Hapo kiasi kilichopatikana ni zaidi ya hapo, kwa waliochangia kupitia namba iliyotahwa anzisheni pettion ya kuomba mtadao wa simu inayodaiwa kupokea mchango wawape hesabu kamili ya kiasi kilichopitia akaunti hiyo na muamala wa mkupuo au kidogo kidogo tangu kampeni ianzishweili mjue mbivu na mbichi. Mtabaki vinywa wazi lakini kiasi kianchodaiwa kuchangishwa ni Tsh 4,774,289/00 kasoro laki
mbili na ushee kufikia lengo.
'Zimwi likujualo halikuli likakwisha' Guilty minds are always frustrated and exposed by illusions features.
Hoja yako ni nini hapa?Uzuri wetu tunaanza kumsingizia mtu jambo halafu tunapodhani watu wameamini huo uongo tunaanza kulaani na kuupinga kwa nguvu zote ule uongo tunaodhani umekuwa ukweli. Hata siku moja uongo hata ukiupaka mafuta na viungo vingi hautakuwa ukweli. Na sio wote wanaodanganyika.
Mleta uzi,
Hapo kiasi kilichopatikana ni zaidi ya hapo, kwa waliochangia kupitia namba iliyotahwa anzisheni pettion ya kuomba mtadao wa simu inayodaiwa kupokea mchango wawape hesabu kamili ya kiasi kilichopitia akaunti hiyo na muamala wa mkupuo au kidogo kidogo tangu kampeni ianzishweili mjue mbivu na mbichi. Mtabaki vinywa wazi lakini kiasi kianchodaiwa kuchangishwa ni Tsh 4,774,289/00 kasoro laki
mbili na ushee kufikia lengo.
'Zimwi likujualo halikuli likakwisha' Guilty minds are always frustrated and exposed by illusions features.
Huu ndio undugu. Safi sanaView attachment 1690755
Ili kuweka kumbukumbu vizuri , Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Nyamagana Mkoa wa Mwanza Kamanda Mwakihaba alishitakiwa kwa makosa ya mtandao baada ya kusambaza taarifa za ofisa kipenyo aliyeonekana karibu na Hospitali aliyolazwa Mh Tundu Lissu jijini Nairobi baada ya kushambuliwa kwenye eneo la bunge mwaka 2017 , inasemekana ofisa huyo alitumwa kwenda Nairobi kummalizia Tundu Lissu baada ya kushindikana kumuua Dodoma.
Taarifa ya Mwakihaba iliishitua Serikali ya Kenya ambapo ikaamua kuongeza ulinzi kwenye hospitali hiyo jambo lililowaudhi baadhi ya wakuda wa Tanzania , Mwakihaba akakamatwa na kushitakiwa mahakamani ambapo amehukumiwa kifungo au kulipa faini ya tsh mil 5.
Kampeni ya kulipa faini hiyo inayoendeshwa na Chadema kanda ya Victoria inakaribia kukamilika , ambapo mfungwa huyo anatarajiwa kutolewa gerezani kesho .
Mungu ibariki Chadema.
haifahamiki kama unalia au unalalamikaUzuri wetu tunaanza kumsingizia mtu jambo halafu tunapodhani watu wameamini huo uongo tunaanza kulaani na kuupinga kwa nguvu zote ule uongo tunaodhani umekuwa ukweli. Hata siku moja uongo hata ukiupaka mafuta na viungo vingi hautakuwa ukweli. Na sio wote wanaodanganyika.
Kwamba hata buku au jero unapata ukakasi wa kuchangia mkuu?Mnawachangisha wananchi hao hao mnasema hawana hela sababu wamebanwa na Magufuli??
Kwa nini Mbowe asitoe tu hiyo hela kwa sababu ana utajiri wa kurithi kutoka kwa baba yake?
Mnawachangisha wananchi hao hao mnasema hawana hela sababu wamebanwa na Magufuli??
Kwa nini Mbowe asitoe tu hiyo hela kwa sababu ana utajiri wa kurithi kutoka kwa baba yake?
We ms*nge sio kila mada lazima uchamgie , boya wewe , Huna cha maana kaa kimya , falaChadema ndio Bawacha bwashee?!