Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463










Wewe nawe mpana jamaniii










Lakini lawama umezipata hujazipata?Kutoa lawama kwa third party person ni immaturity, you have to own yo own mistakes. Mie niliwakutanisha, mambo mengine waliyaendeleza wenyewe. Naanzaje kuingia katikati?
Kumbuka wakati nawakutanisha sikuwakutanisha kwa kuwaambia nataka wae wapenzi.
Muone kwanza!Hiki nalo neno.
![]()
Hallelujahaki nakuja siku si nyingi amini
ndo unipatie sasa mama, kuna mavitu siyo vya kuweka kwenye hadhiraHapana
Hakuna mwingine zaidi yako babaa
Mmmhndo unipatie sasa mama, kuna mavitu siyo vya kuweka kwenye hadhira
ameenHallelujah
hutaki mama; kama kawaida yako,Mmmh
Hahaha hahaha
Sio sitaki jamanii... Mafichoni sio salama kabisaaahutaki mama; kama kawaida yako,
Na kimya ni jibu sahihi siku zote!Nabaki kimyaaa
Wewe huyooooMnanikuza mjue?