Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Nishatulia babaaKazi nnayo ama kweli ila atatulia tu!
Nishatulia babaaKazi nnayo ama kweli ila atatulia tu!
Najua haujawahi kuwa dabo.Ongeza wote jamaniii..
Mimi najijua niko singo, namvizia Sanchez magoli
Kama kweli vileHaya.
Bado kabisaaa jamaniiNajua haujawahi kuwa dabo.
We si tokea kitambo hutaki kunipa access ila fresh tu mamaNatania babaa...
Namba zako sijui umeniblock babaa
Ndo viazi gani tenaTena mbatata.
Tena ikibidi hata simu zao usipokee
haha umeniwezaHuu ushauri ulitakiwa umpe na Frank, ingependeza sana.
Mie kweli kabisaaa nikataee... Ile namba yako ya voda sms hazikujiWe si tokea kitambo hutaki kunipa access ila fresh tu mama
JamanUshindwe na unyong'onyee sehemu zote za mwili. Huwezi kunisingizia mambo mazito namna hiyo.
Nataka Mimi jamaniii
Sasa hautaki au unakataa?
EwaaaaaMtoto mbichiiiiiii![]()
we hata milango ya humu ndani umenifungia ujueMie kweli kabisaaa nikataee... Ile namba yako ya voda sms hazikuji
Mambo ya mahusiano ni magumu sana, ni ngumu kumwambia mtu kuwa anasalitiwa as reaction yake huijui. Mfano unasikia mtu anasema "nikijua nasalitiwa nitaua mtu" huyo unamwambiaje kwamfano?Mahusiano yakishaingiliwa na mtu
Back uwezekano wa kusavaivu kwa
Hayo mahusiano huwa n 20%
Bora uswajue mashemej zako maana
Wanajua kabsa unachezewa lakin
Wanashabikia tu shemelaaa , Shem
Sahizo wanakuchekelea kuwa huna chako hapo