Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,543
Usiniambie mkweeMtoto mbichiiiiiii![]()
Usiniambie mkweeMtoto mbichiiiiiii![]()
Aisee usitake Mimi nikuje uko Leo Leo ujueEwaaaaa
Atanikula na chumvi
Hivi sikukupa nywila za kufikamo hukooo...we hata milango ya humu ndani umenifungia ujue
@DabyMuulize super star.
Hapana auntie wangu jamaniiIla unakataa si ndio?
Hahaha hahaha hahaha@Sanchez magoli pole yako in advance.
Ukuje hebu babaaAisee usitake Mimi nikuje uko Leo Leo ujue
mama labda itakuwa mwenzangu mwingine ila sio mimiHivi sikukupa nywila za kufikamo hukooo...
Hahaha hahahaMkwe yaani ushindwe wewe tu. Mahari napokea as soon as posible.
Hapanamama labda itakuwa mwenzangu mwingine ila sio mimi
Isikilize busara hiiNavyojua mie kuna shemeji halafu kuna rafiki na shemeji. Frank ni rafiki yako na shemeji yako!
Ungemwambia tuu kama rafiki, sasa hukumwambia inabidi umuombe msamaha hata kwa kujitetea!
Huyo Lulu sio rahisi tena kuwa rafiki yako akidhani ulimsaliti wakati huo huo anajua fika hakufanya sahihi. Kama ni mwelewa atajirudi akuombe msamaha!
aki nakuja siku si nyingi aminiUkuje hebu babaa