Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,348
MchikidownNilitaka kukabwa ila sio mtaani kwangu Ni kule jangwani nilikuwa natoka kwenye mkutano wa injili enzi zileee.....Bado Niko kijana nilikuwa mlokole wa nguvuuu
Basi bwana, Kuna siku nilienda hapo mahubiri tukashangweka weee mpka mida ya Kama saa 4 hivindio tukajongea kituoni kutafuta usafiri, Sasa usafiri wenyewe ulikuwa mgumu balaa na MIJITU nayo ilikuwa nyomiii
Basi mi nilivyoona pale sipaelewi nikaamua nitembee hadi kariakoo nikachukue usafiri
Basi bwana, nikachapa mwendo fasta nikifuata barabara ya lami ya kwenda kariakoo, nikafika sehemu Kuna km kidaraja hv halafu kumepoaa hamna watembea kwa miguu kauoga flani hv kaliniingia ghafla na akili ikaniambia geukaaa.....
Itaendelea kesho:'
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app