Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Yaani acha tuu ndugu yangu sijui wangeniharibu utu wangu ingekuwaje,.maana wakati ule nilikuwa nikikumbuka lile tukio mwili mzima unasisimka nabaki kuweweseka tuu.. huyu YESU aliyeniokoa pale nitamtumikia milele 🙌Pole sana mkuu. Maisha yana mambo mengi. Tunamshukuru MUNGU, uhai na utu wako ulibaki salama.