mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
huyu utamkuta anapesa nyingi kuliko familia au ukoo wote...
Maamuzi yote yanayofanyika bila kuhusishwa huwa ni batili...
anachokisema yeye hakiwezi kupingwa adharani kwa wanandugu au familia kuogopa kukosa misaada...
huwa wako radhi kuhujumu wanafamilia wanaojikongoja kujikwamua kiuchumi kwa kuhofia nafasi yake ktk ktk familia au ukoo...
Msaada wowote atakaotoa sio ili ufanikiwe kabisa ila ni ili upate nafuu na kuendelea kuwa ombaomba...
Huyu huwa na vibaraka na wapelelezi ndani ya ukoo au familia ukimsema vibaya au ukipiga hatua yoyote taarifa zote humfikia...
Hata kama alikusaidia nauli ukakomaa kwa juhudi zako ukatoboa ukoo wote utaaminishwa ni juhudi za yule kigogo wa familia...
huyu ndio mbabe wa familia/ukoo ni ni maarufu katika makabila mengi nchini.
Umewahi kukutana na mbabe wa namna hii?
Usiombe akawa ni mwanamke...
Maamuzi yote yanayofanyika bila kuhusishwa huwa ni batili...
anachokisema yeye hakiwezi kupingwa adharani kwa wanandugu au familia kuogopa kukosa misaada...
huwa wako radhi kuhujumu wanafamilia wanaojikongoja kujikwamua kiuchumi kwa kuhofia nafasi yake ktk ktk familia au ukoo...
Msaada wowote atakaotoa sio ili ufanikiwe kabisa ila ni ili upate nafuu na kuendelea kuwa ombaomba...
Huyu huwa na vibaraka na wapelelezi ndani ya ukoo au familia ukimsema vibaya au ukipiga hatua yoyote taarifa zote humfikia...
Hata kama alikusaidia nauli ukakomaa kwa juhudi zako ukatoboa ukoo wote utaaminishwa ni juhudi za yule kigogo wa familia...
huyu ndio mbabe wa familia/ukoo ni ni maarufu katika makabila mengi nchini.
Umewahi kukutana na mbabe wa namna hii?
Usiombe akawa ni mwanamke...