kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 3,905
- 6,205
Miaka hiyo nipo darasa la nne kijijin. Nikajilimia mahindi ya maji. Yaan unalima mahindi baada ya msimu unayanyweshea kwa mfereji. Sasa maji mara nyingi ni ya kugombania. So mi nikawa naamka saa saba naenda kujifungulia maji namwagilia mahindi. Sasa ile namwagilia nimemaliza nikasema ngoja nikafunge maji. Mida hiyo saa tisa giza kama lote halafu kimyaa mbaya kabisa. Ile natoka kwenye mahindi ebwana kuna mdudu cjui alikuwa fisi au nini Anakimbia alishika break mguuni ile cjui nini kakatiza kwenye mahindi nilihic nywele zimesimama. Sasa Wakat natoka pale nafika tena barabaran mbele yangu nawaona wazee wa kaz wana mafurush kama yote wako mdogo mdogo Nikapiga kelele kamata hiyo Walirusha mafurush mbio kwenye mahindi na Mimi nikala kona home.