Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Mercedes-AMG-G63---Front-View.jpg
 
Jamaa mjanja sana hajataka maneno mengi kamtangulizia antonnia mil 100, kazi kwa antonnia kuikubali au kuikataa
Antonnia ndo alomwambia sir midabwada atafute mill 100 ndo wakae mezani wajadiliane 😂😂😂
Lasivyo asimsumbue 😂😂😂
 
😂😂😂 Nabii anajiweza, kachafuka pesa.
Hategemei sadaka za waumini
Amen,
ni kweli na hakika, Mungu Atosha...
Sadaka ni muda na utayari wako wa kumpokea bwana kuwa mokozi wa maisha yako. Ile ingine ni ziada, hiari na uamuzi yako...

Amekupa bure, kwa moyo wa upendo toa bure kiasi tu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom