Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

20231119_203319.jpg

Sio mimi nimetupia tu wakuu, mwenyewe nimekaokota kwa Twitter
 
😂😂😂 Khaaaa!!
Mista Tlaatlaah hana baya baba mtumishi
Jpili twende kanisani kwake dada
Oohh hallelujah,
Karibuni sana katika madhabahu teule ya bwana, mchote mibaraka kama yote, na Mungu atawabariki sana ....
Natoa huduma J4 na ijumaa jioni pia,
Karibuni sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom