cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
na mivogue plus mibenz!! Babu ana hekaheka buana




magari ya kifahari yote yakee.Utadhani ana kiwanda huko Japan
na mivogue plus mibenz!! Babu ana hekaheka buana




magari ya kifahari yote yakee.Lamomy huyo shem wangu dalali. Hana baya. Hela mbeletajiri una visa weyeee


😂😂😂😂Tayana-wag huyu muogope. Bora umeniambia umemshtukia. Huyu Majembe Auction.![]()
Picha sionii akiiii, aaaah



Piga chini nikuweke kwa Mpaji Mungu ukisema suu!! Anatupa pesa tutangulie Zanzibar tukamsubiri, yy amalize kuuza contena lake la miti ya xmass.






Utaachika 😂😂😂
Sio mchezo shooooMambo za Dr sijazielewa asee !😎
Haina bustani ya maana ni kama jangwani tuNi Morena hotel.![]()
Oooh kumbe, nakuja sasa hiv, ngoja ni req Bolt.Mji mwema
Dr kajilipua Jux akasome🙌 🤠!Picha sionii akiiii, aaaah![]()
Ha ha ha 🙆Ni Morena hotel.![]()
🔥🔥🔥🔥🔥🔥Usiku mwema wapendwa.
Nikapumzishe fuvu langu sasa kwaleo inatosha🚶🏻♀️💤😴!
#Lubega
Karibu tunywe bia paka asubuhiOooh kumbe, nakuja sasa hiv, ngoja ni req Bolt.
haha this time nilivyochungulia ndo nimekukuta umepoa, upoe ivo ivo.😂😂😂😂 Naanzaje kushindwa?!!
Zote nawabamiza
Huyo Dr yukojee jaman mbna km ananirusha roho??Dr atafanya coca avunje ndoa![]()




Muda mchache holiday iko karibu 😂😂😂