Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ni mpare au?
Sasa DC ana sauti gan nzitoo?? Mxxxiiieeeew
😂😂😂 we kunguru acha kukariri aliyekwambia cantry ni DC nani?!!
Halafu hata me nilijua hivo, kumbe sio ni mtu mwingine tofautiiiiiii 🤣
Natamani nikufungulie code ila ‘em kwanza Subiri Christmas ipite 😜
 
we kunguru acha kukariri aliyekwambia cantry ni DC nani?!!
Halafu hata me nilijua hivo, kumbe sio ni mtu mwingine tofautiiiiiii
Natamani nikufungulie code ila ‘em kwanza Subiri Christmas ipite
uduguuu sitaki kugombana na kantrii, ila namjua ni.......

Haya enjoy sasa
 
Jamani kesho nakuka Moro town. Kampani viwanja sivipati zaidi ya kuchoma nyama uhuru park. Njoo cost kwangu wee nikunipa kampani na sehemu nzuri tu
 
Kwahiyo unamuibia Tayana-wog danga lake mchana kweupe?!!
Coca juzi tyuu tumetoka kusuluhisha ndoa yako na Mjep leo umesahau km ulitaka kujirusha ghorofani ulivyoachwa?!!
Tamaa hizo za pesa
wee mie simuibii, mie si mpambe wa mama mtumishi jamani, wee si ndo mshika pochiii?

Uduguuu nampenda Mjep wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom