Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umerogwaa wee sio bureee,
Hebu zindukaaa, shtukaaaa unapigwaaaa!!!

Ila uduguu unayawezaaa, nimechekaaa balaaa.
Km kurogwa ndio huku?!!!! Nasemaje!!! Baba ongeza dawa sio kwa raha hizi anazonipa mtoto wa ma mkwe 🥰🥰🥰
Nyie sijui nilichelewa wapi?! Simuachi mpk aniue 😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom