Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ninaye treena dume lenye sifa zake haswa 🥰🥰🥰🥰
Mdogo angu coca niko kwenye penzi zito nimetekwa nikatekeka, huba limekolea nazi!👌
Hivi ushawahi kupapaswa kwa SAUTI?! Basi huyu shem wako ana sauti zito lenye ujazo la kiume liko so romantic🥰🥰, akiongea kwa bibi kunaloa!!
Kachukua sauti za ukoo mzima, sijawahi ku-experience before!! Mungu kaumba, mama mkwe kazaa?! Nyie sijui walipiga style gani wakati wanamtafuta huyu kiumbe?! Mbona wameleta balaa!! Nishaanza kuongea peke yangu na kujijibu mwenyewe njiani 😂😂😂

Kwanza nimekumbuka hivi tulisema mwanaume asiye na hela tuachane naye?
Me naomba mnitoe sio kwa mwanaume huyu hata mia yake siitaki!!! Mwambie sisy Joannah narudisha kadi. Kuanzia leo sio mwanachama wa money first 🤣🤣🤣
Halafu mlisema hakuna kuzaa bila ndoa?! Hapana siko pamoja na nyie, huyu namzalia mapema sana sio kwa raha hizi 🤸‍♀️😜
🤣😳🙄Jmn jmn nyieeee
 
Ninaye treena dume lenye sifa zake haswa
Mdogo angu coca niko kwenye penzi zito nimetekwa nikatekeka, huba limekolea nazi!
Hivi ushawahi kupapaswa kwa SAUTI?! Basi huyu shem wako ana sauti zito lenye ujazo la kiume liko so romantic, akiongea kwa bibi kunaloa!!
Kachukua sauti za ukoo mzima, sijawahi ku-experience before!! Mungu kaumba, mama mkwe kazaa?! Nyie sijui walipiga style gani wakati wanamtafuta huyu kiumbe?! Mbona wameleta balaa!! Nishaanza kuongea peke yangu na kujijibu mwenyewe njiani

Kwanza nimekumbuka hivi tulisema mwanaume asiye na hela tuachane naye?
Me naomba mnitoe sio kwa mwanaume huyu hata mia yake siitaki!!! Mwambie sisy Joannah narudisha kadi. Kuanzia leo sio mwanachama wa money first
Halafu mlisema hakuna kuzaa bila ndoa?! Hapana siko pamoja na nyie, huyu namzalia mapema sana sio kwa raha hizi
Umerogwaa wee sio bureee,
Hebu zindukaaa, shtukaaaa unapigwaaaa!!!

Ila uduguu unayawezaaa, nimechekaaa balaaa.
 
🤣😳🙄Jmn jmn nyieeee
😂😂😂😂 Acha shogare mwenzio naogelea kwenye bahari ya mapenzi. Shem wenu kajua kunishika nimeshikika. Sauti yake inasisimua kuanzia unyayo mpk mwisho wa ncha ya nywele 🥰🥰🥰
Kungwi nimepatikana sisikii, siambiwi. 🤸‍♀️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom