cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Mfyuu!! Thubutuuu labda ya shem wa Kigoma
Haya lete milonjo hiyo nakusubiri



upo hapa nikuwekeee?Hebu fanyeni manuvaa mchanhamshe uziii kwaniii uzi umepoaaa sana!Tupo,tumepumzisha mwili rafiki.
Namie nipoo shougaare akee nimeona ulisema utapita naked hapoi fanya kurudia deaaupo hapa nikuwekeee?
Mzeiya wa mwandiga hana mbambambaa a ajiweka mzima mzimaaa !Kumekucha kumekucha 😂😂😂
Mzee wa kupita naked!! Coca shem anakuita
Tupoo hapaaa haya tupieni tupieniii...Wanaswampaa wapii cjui.![]()
Santo sana binti sayuni huyo dogo ameficha nini?? Kitampi au🤠🤠🤠??
Hio mbona haina tatizo wee jilipue tu acha uswahili banaa!Shida mi Huku nateteaga nyeto na napromote KATAA NDOA sasa mkiniona mkampelekea taarifa baba mchungaji 😁😁ataniremove kwenye privilege nazopata, anyway saa saba nakatiza ila sura hutaona
Nasubir muanze kutumikia ndoa ndo nipite na Toyo hapo Melo's landHio mbona haina tatizo wee jilipue tu acha uswahili banaa!
Saa saba mbali sana tupia saii
Namie nipoo shougaare akee nimeona ulisema utapita naked hapoi fanya kurudia deaa



jamani watu mko winja winja hapa,Vibaya hivooo! Hii version haitaki story huu mjue wekeni vituuuu wekeni vituuuu!Nasubir muanze kutumikia ndoa ndo nipite na Toyo hapo Melo's land
Usijareee kipenzi mi nawee hatushindwaniii! 😘jamani watu mko winja winja hapa,
Afu shouzzz, au bas nakuja tsup
Hii ni kubwa kuliko 🔥🔥🔥🔥🔥🔥😗😘
Wait tukumwagie barakaa..!Usiku mwema wapendwa kesho nayo siku 😴💤💤💤💤
Kwako piaa.Usiku mwema wapendwa kesho nayo siku 😴💤💤💤💤