Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Hahaha hii kiswahili ya wapi rafiki? "Kwio"

Niliweka niko ndani ya shuka muda huu na nikatoa chaaap sababu zulu mdogo ana kiherehere alitaka kuonekana.😅
Weee uswahili huooo hujatubless!
Huyo Zulu atulize bichwa hilo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom