Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Na kweli watanijua 😂😂😂
Maana nilikuwa napenda hekaheka, ukitokea umbea hawasutani mpk niwepo ili kuchachua msuto
Kichwa yako tu kimuonekano inadhihirisha🤣

Uko na nywele mingi now or low cut hairstyle?🤣
 
Me huwezi kunijua ng’o 😂😂😂
Kwanza kwann umefuta ile comment we mgombania mademu wa kigabachori kwa kutishia wenzio silaha?!!

Kweli sikuliwa bhana me nilikuwa muoga na michezo mibaya
🤣niko kwa process ya ku verify u-Jf member so hizo dhambi sitaki na mwisho wa siku kuunganishiwa matukio sitaki kabisa hapa duniani.

Warembo wa asia walikuwa wananikubali maana Kaka yako nilikuwa muhendisaaamuu ila siku hizi sijui umepotelea wapi🤣,ndugu zao walikuwa wana-mind ,hizo ndio chanzo cha timbwili,kuna siku natoka na crew yangu tunaenda kuzichapa pale shani cinema near na kale ka daraja🙌.

Uende bwalo na mchumba akuache hivi hivi,kweliiiii?
 
🤣niko kwa process ya ku verify u-Jf member so hizo dhambi sitaki na mwisho wa siku kuunganishiwa matukio sitaki kabisa hapa duniani.

Warembo wa asia walikuwa wananikubali maana Kaka yako nilikuwa muhendisaaamuu ila siku hizi sijui umepotelea wapi🤣,ndugu zao walikuwa wana-mind ,hizo ndio chanzo cha timbwili,kuna siku natoka na crew yangu tunaenda kuzichapa pale shani cinema near na kale ka daraja🙌.

Uende bwalo na mchumba akuache hivi hivi,kweliiiii?
Verify afu avatar uweke picha yako halisi niwe nakukumbushia mabalaa yako 😂😂😂
Umenikumbusha shani cinema dah! Na jioni pale posta kulikuwa kunamwagwa viatu vya mtumba vizuri!! Nilikuwa napenda kuvaa sketcher u dada du mwingi 🤣
 
Verify afu avatar uweke picha yako halisi niwe nakukumbushia mabalaa yako 😂😂😂
Umenikumbusha shani cinema dah! Na jioni pale posta kulikuwa kunamwagwa viatu vya mtumba vizuri!! Nilikuwa napenda kuvaa sketcher u dada du mwingi 🤣
🤣🤣 siku narudi kijijini ndio naweka kila kitu sawa hadi profile pic.

Posta pale pale kwenye sidewalks zake? Sikuwahi kuona,ila pale kuanzia office za Tafori za zamani ndio huwa nilikuwa naona.
Hongera kusoma shule za watukutu
 
_20231202_174139.JPG
 
🤣🤣 siku narudi kijijini ndio naweka kila kitu sawa hadi profile pic.

Posta pale pale kwenye sidewalks zake? Sikuwahi kuona,ila pale kuanzia office za Tafori za zamani ndio huwa nilikuwa naona.
Hongera kusoma shule za watukutu
🤣🤣🤣🤣 Nakuzingua me nilisoma gomz ulongoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom