Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Chukua mrembo keshakuelewa acha kupoteza bahati kama mzee Pdidy anaandikiwa namba badala ajiongeze yeye anaenda kumtafutia barmaid kazi ya ukonda wa basi la mkoani.
Mi sijawahi braza. Nimwambieje sasa? Ukimuona huyo,na wewe utaogopa. Mi alikuja nikajifanya nafunga kamba za viatu ili apite tu. Na ndo nilikuwa namsubili pale lelini
 
Mimi nimevaaa kiatu changu Cha siku zote
JPEG_20231123_104155_5228778300016947830.jpg
 
Nikasema wacha niweke hii playlist ya Westlife isindikize hii kazi ninayoifanya nisichoke 😁hee ghafla akili ikaanza kuwaza mahusiano na na mapenzi🤣🤣
IMG_3078.png

Nikapotezea Nikaendelea kushika kalamu😁😁heee ulivyopiga huu wimbo

View: https://youtu.be/_lc_VfizoYA?si=QQ_lSuC6VWAMN0rL
Heee…”…” kitaalam Sijui inaitwaje hii😁😁
 
Haukuwa unatabasamu rafiki?or mental shift ilikupeleka upande wa mapenzi kwenye hali ya huzuni?
Yani sielewi naona mvurugano na kupoteza concentration ya kile nilikuwa nafanya😁😁😁

Mzima lakini mzee baba?😊
 
Yani sielewi naona mvurugano na kupoteza concentration ya kile nilikuwa nafanya😁😁😁

Mzima lakini mzee baba?😊

Mtumie ujumbe binadamu mwenzetu usomeke

"Moyo na ubongo vimefanya team work bila kukosea na kukupenda mzima mzima"

Mimi mzima tu hofu kwako?umepotea..
 
Mtumie ujumbe binadamu mwenzetu usomeke

"Moyo na ubongo vimefanya team work bila kukosea na kukupenda mzima mzima"

Mimi mzima tu hofu kwako?umepotea..
Hii team work siitaki 😁😁

Mimi Niko salama kabisa chief…maisha yanatufanya kupoteana humu ndani😍

Nimefurahi selfika kuja kinamna nyingine🥰🥰🥰🥰
 
Hii team work siitaki 😁😁

Mimi Niko salama kabisa chief…maisha yanatufanya kupoteana humu ndani😍

Nimefurahi selfika kuja kinamna nyingine🥰🥰🥰🥰
Mahaba matamu aiseh,unayakataa?

Maisha Ndivyo yalivyo cha umuhimu ni kukaza kamba,mfanye kazi kwa bidii ila msitusahau hata 5USD ambao hatuko na kazi tunashinda JF😉.

Yeah tunaselfika ila bado sijaona hata ukucha wako humu.
 
Mahaba matamu aiseh,unayakataa?

Maisha Ndivyo yalivyo cha umuhimu ni kukaza kamba,mfanye kazi kwa bidii ila msitusahau hata 5USD ambao hatuko na kazi tunashinda JF😉.

Yeah tunaselfika ila bado sijaona hata ukucha wako humu.
Mahaba yanamuda wake kwa sasa ngoja kwanza🤣🤣🤣

Dah aise mkuu uko vizuri kitendo cha kuizungumzia dollar tayari tumeshapeana madaraja.😁😁nipe connection na mimi nianze zungumzia dollars mkuu usifanye hivyo ujue.

Nimeshaselfika mzee baba..ukiona picha ya kidada kiandunje cheusi mangala ndio mimi🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Mahaba yanamuda wake kwa sasa ngoja kwanza🤣🤣🤣

Dah aise mkuu uko vizuri kitendo cha kuizungumzia dollar tayari tumeshapeana madaraja.😁😁nipe connection na mimi nianze zungumzia dollars mkuu usifanye hivyo ujue.

Nimeshaselfika mzee baba..ukiona picha ya kidada kiandunje cheusi mangala ndio mimi🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Hongera rafiki,wewe ni mzungu kabisa kwenye suala la mahaba.

Dollar huku kwetu tandale tunamaanisha Tsh's so hapo hamna gape ila suala la connection hapo unaninafkia,hivi unaweza kukaba mtu wewe? Niko hapa uchochoroni kuvizia wapita njia hivyo kama uko safi na nguvu karibu tujumuike.

Picha zilizonipita wote mko warembo ila hamumzidi nyonga mkalia ini wangu🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom