Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Sometimes nahisi inawezekaba kweli watumiaji wengi wa jf ji matajiri. Ambao wana mifumo ya kuwaingiza mapesa wakiwa zao wamekaa chitchat. Ni ajabu mtu saa 12 asubuhi yupo anachat humu mpaka jioni, saa sita usiku unamkuta uzi wa jf usiku wa manane. Wanajishughulisha saa ngap???
-Msinipopoe jamani, nahitaji mnipe mbinu nami napenda kushinda tu ninachat. Ila majukumu hayaniruhusu😭😭
Hahahahaha
 
8dfab454-bcca-4f1b-a7b9-fb07d664101f.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimevaa suti ya Giorgio Armani ya grey na shati jeupe nimeshika bomba kwenye mwendokasi
Umeshika au umeshikoshwa Bomba kwenye Mwendokasi?😀😃😄😁😆😅😂. Hiyo lugha uliyoiandika kuwa "umeshika bomba" sio nzuri kwa mwanaume mkuu. Ungesema umepanda tu mwendokasi.

One man down hapa.😂😅😆😁😄😃😀
 
Umeshika au umeshikoshwa Bomba kwenye Mwendokasi?😀😃😄😁😆😅😂. Hiyo lugha uliyoiandika kuwa "umeshika bomba" sio nzuri kwa mwanaume mkuu. Ungesema umepanda tu mwendokasi.

One man down hapa.😂😅😆😁😄😃😀
Aah tafsiri yako imeenda mbalii
 
Umeshika au umeshikoshwa Bomba kwenye Mwendokasi?😀😃😄😁😆😅😂. Hiyo lugha uliyoiandika kuwa "umeshika bomba" sio nzuri kwa mwanaume mkuu. Ungesema umepanda tu mwendokasi.

One man down hapa.😂😅😆😁😄😃😀
We elewa km alivyoandika mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom