Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Yaan wanatukatiliYan ukichelewa kidogo tu hukuti kitu 🤔
Yaan wanatukatiliYan ukichelewa kidogo tu hukuti kitu 🤔
kijana wa ovyo unakaba adi kimvuli
😂😂😂Nimecheka😂😂😂😂 Toy ya jambazi chpaka la kwenye J plus
Kakaako aache uzembe Huu mwak sitaki uishe Huu 😀😀Utamfanya kaka ajue ushanasa kumbe mikuku unayofakamia 😂😂😂
Pole Jamani mambo ya Iphone magumu njoo chukue Infinix hii iko moto 😂😂😂Sionii shangazii![]()
Mnatufanyia vibayaulikua wapi wenzio tumekula kwa macho mpka bas
Nyie tayari mpo sokoni,mnauzwa tena kwa kutembezwa ka njegere za kwa Mfipa. Angalia baibui hapo kama si wewe.
Vinginevyo,kwa Mbasha tuuu muuza mbuzi ndo utasikia Miguu minne, yaani peya



hatariii tupu.Pole Jamani mambo ya Iphone magumu njoo chukue Infinix hii iko moto![]()



I4n nani anatumia? Haikutengenezwa kwa ajiri yangu.📍Nipe location dr 😂😂😂
Mnatufanyia vibaya

Mi pia nilikumiss Coca.😊🤩Mwenyeji ushakujaa? Nlikumic mnooo
Nimechelewa kuitika, but I'm here raraa reree 🙂😘Liziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👑👑👑👑👑👑 😗😘
Got u 🤗😗Nimechelewa kuitoka, but I'm here raraa reree 🙂😘
Kumbeeee! Kwako raraa reree anaandika kabisaNimechelewa kuitika, but I'm here raraa reree 🙂😘
😆🤣😂 umefikiria nini weweee aiseeeKumbeeee! Kwako raraa reree anaandika kabisa
Souvenez-vous amezoea kuona likes zako zaidi. Unaweza kuta post zako huwa anaziruka....😁😆🤣😂 umefikiria nini weweee aiseee