Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Nyie tayari mpo sokoni,mnauzwa tena kwa kutembezwa ka njegere za kwa Mfipa. Angalia baibui hapo kama si wewe.

Vinginevyo,kwa Mbasha tuuu muuza mbuzi ndo utasikia Miguu minne, yaani peya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupu.
 
Pole Jamani mambo ya Iphone magumu njoo chukue Infinix hii iko moto [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I4n nani anatumia? Haikutengenezwa kwa ajiri yangu.

Tecno yangu inasumbua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom