MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,740
- 11,341
Fanya kunitumia mimi peke yangu sasa usiku macho yangu yanakuaga na matatizo ya kutokuona vizuri umu jukwaani 🤣Nishayatupia hum itakua kuna page umeziruka ndo maan hauyaoni![]()
Fanya kunitumia mimi peke yangu sasa usiku macho yangu yanakuaga na matatizo ya kutokuona vizuri umu jukwaani 🤣Nishayatupia hum itakua kuna page umeziruka ndo maan hauyaoni![]()
Ooooh ila pia anatakiwa ajue kuwa mimi ni shabiki wako kipenzi hapa jf hasa linapokuja suala la 📸📸📸 😄Souvenez-vous amezoea kuona likes zako zaidi. Unaweza kuta post zako huwa anaziruka....😁
Fanya kunitumia mimi peke yangu sasa usiku macho yangu yanakuaga na matatizo ya kutokuona vizuri umu jukwaani![]()

usijal nakutumia chap ule kwa mamcho bestiekijana wa ovyo unakaba adi kimvuli




Achana nao🤣Wana hasira na jimbo. Watasubiri sana![]()
☺️😁Ooooh ila pia anatakiwa ajue kuwa mimi ni shabiki wako kipenzi hapa jf hasa linapokuja suala la 📸📸📸 😄
Sio mchezo 😅😂Shem anapiga kampeni uchaguzi ukiwa umepita![]()
Funga pm kama tulivyoongea wasisumbu vi portable vyetu kituSio mchezo![]()

🤣🙌🙌🙌Nyie mtoto mkareeee huyu 😍😍😍
Km Millen Magese, hapa ng’ombe tunachukua kuanzia 200 hutaki kaoe binamu zako
Nishafunga🤣🙌Funga pm kama tulivyoongea wasisumbu vi portable vyetu kitu![]()
sitaki kuamini katransaction ka afkumi ndo kamekuteka ivo 🤣Achana nao🤣
Kwa hizo ndevu ndo maana unajiita Nyani Ngabu,.. still unaundergo evolution 😊😊
Usimusikilize MFALME WETU ndio popobawa mwenyewe mzee wa ndumbaNishafunga
Sitaki usumbufu


ngoja nikubali kamoyo kako karidhike 🤣
Nenda tuition dogo. Kaka zako tuko na shemeji zako.
Tumia usemi wa wakubwa wanafaidi![]()
Atakuwa na Kalio huyo. Chukua hiyo formulaMbona mnapost watu Hawana vichwa,..daaaah mambo gani hizo![]()


Ntakuchapa 😂😂😂🤣🙌🙌🙌
Niko njia panda ya neruka 😂😂😂📍
Ukifika Mbagala Kuu niambie nije kukupokea!😁