Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,913
- 3,450
Are those Christian Louboutins aka red bottoms?
Naam, tangu Chadibwa, Vitamini C na sasa Pweza Beach,
The Giant nayo imefungwa kumbe? Sikujua kabisa…Naam, tangu Chadibwa, Vitamini C na sasa Pweza Beach,
Sikai mbali na hapo.
KwakweliKule aliko anawaza Dec aanze kula kwa kuchagua. Atakuwa analishughulikia. Wee mu invite mtoko
Nishatupa sana simu, maana ulalaji wangu ni wa hovyo,Jana usiku simu nimeikuta uvunguni kabisa![]()
Kwa ndege??Acha kuni rusha![]()
Shemeji Tayana kakufungulia pm kwanza nijue? 😂😂😂Kule aliko anawaza Dec aanze kula kwa kuchagua. Atakuwa analishughulikia. Wee mu invite mtoko
Kitambo, figisu zilikua nyingi wakazi wanalalamika makeleleThe Giant nayo imefungwa kumbe? Sikujua kabisa…
Huyu nani tena 😍😍😍Giza nene
Kweli lakini. Ila walikuwa na kuku watamu sana 😀🙈Kitambo, figisu zilikua nyingi wakazi wanalalamika makelele
Hahahaha wakubwa tumeelewaKweli lakini. Ila walikuwa na kuku watamu sana![]()
Anasema hela eti nimpe moyo. Sasa mi nitabaki na niniShemeji Tayana kakufungulia pm kwanza nijue?
Sio mnapiga domo mpk wakala afunge ofisi nikose pesa

nimemzawadia outingKwacha hatutaki 🤣🤣🤣🤣Naongea pole pole shem asijue una kwacha . Ni wewe kufungua ulikofunga utaona notification fasta
Anasema hapendi hela. Anataka moyo wenye passwordKwacha hatutaki![]()
Tumeambiwa upo sauzi imekuwaje shosti 🤣🤣🤣Kikiva nistue😋😋😋!
Kam kauwaaaaa mamaa masaptasaptaaa uko vizureeee!
We kajimama wewe. Juice umetubakizia hapa?Kwacha hatutaki 🤣🤣🤣🤣