Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Uzuri huendana na roho. Mi sio wa kufungiwa benki halafu hawaoni nafanya muamala. Sema Meneja ananijua walikomalia walinzi . Wajinga sana. Hivi wanajua niko namfanyia nani maokoto?
🤣🤣🤣Hapo Sasa
 
A sip of Safari Lager
IMG_20231105_152811_9.jpg
 
Nikupe siri! Serikali haihangaiki na jamiiforums,

Shida ni kwamba watu wengi wanaogopa kupost sura zao halisi kutokana na class walizojitambulisha nazo toka mwanzo.

Relax, enjoy your time boss!
Sasa mkuu ndo raha ya kuwa unknown unaweza jibizana na waziri humu na ukambana kwa hoja ila wote mkishajulikana watu wenye uwezo kifedha wanakimbilia kwenye uchumi wao kujitetea

Eniwei
Whatever that floats your boat
Enjoy jf
Mimi naiinjoi hvi hvi unknown
 
Nikupe siri! Serikali haihangaiki na jamiiforums,

Shida ni kwamba watu wengi wanaogopa kupost sura zao halisi kutokana na class walizojitambulisha nazo toka mwanzo.

Relax, enjoy your time boss!
Kumbe humu mwanzoni watu walikua wanajitambulisha kwa sura zao. Ohoo

Huu uzi usiuchukulie that siriaz, watu tupo apa kupoteza muda na kuhave fun maana uko kwenye real life huo muda hatupati 🤝
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom