Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,946
Ushapata pesa? Mi ss hivi kufanya udalali bure mechookaa 🤣🤣🤣nidalalie basi kwa huyo mwanamwali
Ushapata pesa? Mi ss hivi kufanya udalali bure mechookaa 🤣🤣🤣nidalalie basi kwa huyo mwanamwali
Oh kumbe muda umeenda,kuna kitu nafkiria lini ukipokee nyumbani😉Nimetoka, Nipo nyumbani right now.
Mtu akiambiwa atume pesa tayari anaanza kusema narudi huko sijui tarehe ngapi!! 🤣🤣🤣
Labda huyo pekee, wengine tuko tandaleKwahiyo humu wote mko abroad? Mpo mnatuchanganya sasa?!! 🤣🤣🤣
Nitakuwa Paje. Zanzibar nayo si nchiKwahiyo humu wote mko abroad? Mpo mnatuchanganya sasa?!!![]()


mchaga na mkinga tutashindwana sasa😂Ushapata pesa? Mi ss hivi kufanya udalali bure mechookaa 🤣🤣🤣
Kantry wa kubaniwa?!!Sema ,au unambania bwana country nije kumsaidia kushika miguu
Haya weka dau mezani nianze kazi 😂😂😂mchaga na mkinga tutashindwana sasa😂
Nitakupatia mdogo wangu,kama uko tayari sema nimwage namba kwa ajili yakoUnataka nile maparachichi ya sumu nijiue? si ndio?
😂😂😂 unazingua tajiriNo mi nipo Tz sasa.![]()
Unaenda wapi🤣🤣
😂😂😂😂😂hata kama yupo wapi si kuna send wave au NalaMtu akiambiwa atume pesa tayari anaanza kusema narudi huko sijui tarehe ngapi!! 🤣🤣🤣
Wakati mwanzo wa utambulisho tulikubaliana wote tunaishi Bonyokwa 🤣🤣🤣
Haya sawa 😂😂😂Nitakuwa Paje. Zanzibar nayo si nchi![]()
Ameogopa helaunazingua tajiri
🤣🤣🤣Mtu akiambiwa atume pesa tayari anaanza kusema narudi huko sijui tarehe ngapi!! 🤣🤣🤣
Wakati mwanzo wa utambulisho tulikubaliana wote tunaishi Bonyokwa 🤣🤣🤣
Wanazingua hawaeleweki 😂😂😂😂😂😂😂😂
Basi mfanye kweliKantry wa kubaniwa?!!
Nisiseme sana 😂😂😂
Sasa si useme ukweli 😂😂😂Ameogopa hela