Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,943
Tupe ya kusimama 😂😂😂Ni auric air hiyo kindege cha wabongo🤣🤣
Hiyo wanazengo wamegoma
Tupe ya kusimama 😂😂😂Ni auric air hiyo kindege cha wabongo🤣🤣
Tupe ya kusimama
Hiyo wanazengo wamegoma
Ni auric air hiyo kindege cha wabongo![]()

nakaa nyuma kabisa ya darasa namuwaza binti machoKijana umesoma nini leo?🤣
🤣🤣🤣🤣Ya kusimama kifua wazi![]()
Uzuri huendana na roho. Mi sio wa kufungiwa benki halafu hawaoni nafanya muamala. Sema Meneja ananijua walikomalia walinzi . Wajinga sana. Hivi wanajua niko namfanyia nani maokoto?
Tulia. Nina safari mwisho wa mwaka. Narudi Feb mwanzo. Vuta subiramwenzio nimetamani mtoto
Natamani kutoa ahadi nikipewa taarifa ya kuwa ummna ujauzito hata wa 1 month🤐...na vile unavyopenda pesa naona utatuigizia.😂😂😂 mwenzio nimetamani mtoto
Nina kitambi mtani cheka staki🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tupe ya kusimama 😂😂😂
Hiyo wanazengo wamegoma
binti macho umekua na roho ya koroshoImepita hiyo ikirudi pancha😂
Subiri ushauri wangu kwanza. Hili usipuuzeMi natamami balaaa
Ila mhhh,ngoja kwanza![]()
Bora ongea na kaka yakoMe naongea na kaka Chale bhana![]()

Kijana jishkilie, uko course gani kwanza maana nina rafiki lecturer hapo,alimaliza hapo na ni lecturer wa Architecture ili akuondoe chuo kwa utovu wa nidhamu kumtamani shemeji yako🤣.nakaa nyuma kabisa ya darasa namuwaza binti macho
Aku chitaki nina kitambi mtanicheka🤣🤣Ya kusimama kifua wazi![]()
Aweke nyingine 🤣🤣🤣Eheee ewalaaa
Mambo?Yes honey!
🤣🤣🤣🤣 nimecheka🤣🤣🤣 huu mwaka mshamba asipojinyonga bas hafi tena mpk uzeeni
kosa ni kumuiba sio kumdere😂Kijana jishkilie, uko course gani kwanza maana nina rafiki lecturer hapo,alimaliza hapo na ni lecturer wa Architecture ili akuondoe chuo kwa utovu wa nidhamu kumtamani shemeji yako🤣.