bora kauzu aisee, wema nishaonaga hauna issueKatika kufanya wema na kuwa kauzu kipi kinachoweza kukuacha ukawa salama maishani mwako ?
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha dah! ulikuwa mwalimu bora sana, sasa hivi unaipeperusha bendera yetu kimataifaNakumbuka mwaka 2012 kuna mzazi aliwahi kunikabidhi binti yake wa kidato cha pili nihakikishe anafaulu,maana kichwa chake hakikuwa na uwezo sana,alisharudia mara moja kidato cha pili
Nami sikufanya hiyana nilimsaidia/kumuwezesha kufaulu kulingana na kichwa chake
Lakini binti alitamani anilipe fadhila bila wazazi wake kujua
Kilichotokea hadi leo binti ana mtoto wa miaka mitano,na mimi kazi ya ualimu niliacha,na naishi nchi jirani koloni la Mreno
Nadhani una maana kuwa ulimkopesha/ulimkopea kwani ingekuwa umemkopa basi ni wewe ulitakiwa umlipe. Anyway, visa vya kukopesha watu na wakakataa kurudisha ni vingi mno. Nadhani kila mtanzania laiyewahi kukopesha mtu fedha amekumbana na hili tatizo.Pole sana mkuu mimi nilimkopa mtu laki nane alikua na matatizo haswa leo mwaka wa tatu hataki kunipa pesa yangu anachofanya ananitegeshea mbunye nipige ajilipe na mimi namkwepa hawa wanawake hovyo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusimulie basiMtoto wa watu aliyeuawa kwa nidhamu yake ya kuwapokea waalimu asubuhi wafikapo shuleni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Alidokoa vitu gani?Tangia nimpe mtu lift tena alikaa siti yanyuma na kuanza kudokoa vitu vilivyomo ndani ya boks hata nimkute mtu anatembea nakutoa jasho ladamu napandisha viooo sina habari hiyo
Ndiyo maana wahenga walisema "tenda wema nenda zako"!nilikuwa nafanya kazi mahali sasa kulikuwa na mwenzangu tunafanya nae kazi lakini ilitokea akawa anachukiwa sana na mke wa boss kutokana tu na sababu za wivu wa kike. sasa nilikuwa namuhurumia sana kutokana na jinsi alivyokuwa ananyanyaswa, ikatokea mimi nikapata kazi mahali pengine ambapo kwenye hiyo ofice nikapewa kuwa supervisor wa wafanyakazi wengine, yani akitoka boss ndio mimi, kwa huruma zangu nikamfanyia mpango yule mwenzangu aliyekuwa ananyanyasika kule akaja akapata kazi pale nilipokuwa, nikamfundisha kazi mpaka akaiva haswaa, aisee alianza kuyapika majungu ya hatari kuanzia kwa boss mpaka wafanyakazi wengine, nilichukiwa na kila mtu bila kosa, nikashangaa tu napewa likizo,na boss mpaka hapo nitakapoitwa, huwezi amini ndio ilikuwa mwisho wa kibarua changu na yeye akachukua nafasi yangu. sitasahau hili jambo mpaka nakufa
Hii kitu niliwai kuiona siku moja nazani jamaa alichukua mahali malaya sasa yule malaya akazingua basi jamaa alimpiga sana then akamtupa kwenye shimo la takataka asubui tunaamka tukamkuta huyo demu kwenye shimo tukajua kafa nabae akaanza kujigeuza geuza hakuna mtu aliyesubutu kupiga simu polisi wala kumgusa tulimuacha humo humo manake kwa sheria zetu zilivyo za kisenge ukijifanya kumsaidia kumpeleka hospitali akifia njiani wako huyoMm nshawahi kumkuta mwana mmoja mlevi katumbukia kweny korongo anakoroma tu,,watu wanampita tu,,kujinasua na kesi cha mauaji au ushahidi polisi nami kam wengne nkajikausha tu nkasepa zangu.
Ni kwa mujibu wa sheria za nchi au ndio mambo ya hongo au akikaza kwamba hajakubaliana malipo hayo inakuajeWewe unafikiriaje? Umesoma kichwa cha thread hii vizuri? Kisa cha kweli hicho. Mimi nilipata kufanya kazi katika nchi hiyo. Wakati wa orientation (kama unaelewa maana yake - kwa sababu unaonekana hauna exposure), tuliambiwa kuwa hakuna kutoa lift kwa wenyeji hata siku moja.
Nimekuelewa sana mkuu. KudosMaisha ya sasa hivi na walimwengu wa kizazi hiki wengi tusio na shukrani, ukitaka tenda wema au kaa pembeni. Ila nakushauri usifanye kitu chochote kibaya ukaonekana ww ndio mgomvi. Nilikutana na mtu mmoja miaka kadhaa nilipoanza kazi 2005 tukawa marafiki, alikua kiongozi kanisani ,alikua na elimu ya kawaida akiwa kibarua kampuni yetu. Nilimsaidia sana nilivyoweza,ikafika mahala matatizo yake nikayafanya yangu. Alipooa nilijitoa vya kutosha, mama yake akiumwa namsaidia, alipooa alikaa kama miaka 2 hana kazi, nkamsaidia kumlipia kodi, chakula ananitegemea, mpaka mke wake alipojifungua ilikuwa kama mke wangu ndio amejifungua maana kila kitu alinitegemea mm. Ila huwezi amini alikuja kunifukuzisha ile kazi tuliokuwa tukitegemea sote, mahusiano yangu akawa hayadumu kumbe akijua alikua ananizunguka, alinifanyia vitu ambavyo nina uhakika hata shetani mpaka leo anamcheka na kumdharau. Leo akiniona anajificha hayuko tayari kukutana na mm uso kwa uso. So ukiweza tenda wema na kubali lolote litakalokutokea. Kingine nashauri usije ukawa chanzo cha kutenda mabaya. Binadamu hatuna shukrani