Habari za Jumapili wakuu?
Kama kichwa cha habari kinavyosema, kuna baadhi tu ya mambo ambayo unaweza kuamua kuyafanya kwa moyo mmoja yaani ukaona kabisa hapa natenda wema na malipo ni kwa Mungu ila binadamu mwenzio ni shukrani tu.
Lakini kinyume chake ukajikuta unajuta siku nzima au pengine wiki/mwezi/na hata mwaka. Mimi binafsi ni visa vingi lakini kubwa kuliko ni hili la juzi Jumanne.
Nilikuwa natoka misele yangu jioni ya saa kumi mtaani nikakuta kuna kuku anakimbia huku mguuni amezongwa na mfuko mweusi wa nylon anapiga kelele balaa.
Nikamkamata na kumtoa ulemfuko.
Bwana bwana!! Asee kilichofuata kama sio busara za mtu anayenifahamu vyema na jinsi nilivyowasimulia tukio lote leo hii ningekuwa nauguza majeraha.
Nimekoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kinavyosema, kuna baadhi tu ya mambo ambayo unaweza kuamua kuyafanya kwa moyo mmoja yaani ukaona kabisa hapa natenda wema na malipo ni kwa Mungu ila binadamu mwenzio ni shukrani tu.
Lakini kinyume chake ukajikuta unajuta siku nzima au pengine wiki/mwezi/na hata mwaka. Mimi binafsi ni visa vingi lakini kubwa kuliko ni hili la juzi Jumanne.
Nilikuwa natoka misele yangu jioni ya saa kumi mtaani nikakuta kuna kuku anakimbia huku mguuni amezongwa na mfuko mweusi wa nylon anapiga kelele balaa.
Nikamkamata na kumtoa ulemfuko.
Bwana bwana!! Asee kilichofuata kama sio busara za mtu anayenifahamu vyema na jinsi nilivyowasimulia tukio lote leo hii ningekuwa nauguza majeraha.
Nimekoma.
Sent using Jamii Forums mobile app