Umeshawahi kutenda wema na ukakutokea puani?

Umeshawahi kutenda wema na ukakutokea puani?

Habari za Jumapili wakuu?

Kama kichwa cha habari kinavyosema, kuna baadhi tu ya mambo ambayo unaweza kuamua kuyafanya kwa moyo mmoja yaani ukaona kabisa hapa natenda wema na malipo ni kwa Mungu ila binadamu mwenzio ni shukrani tu.

Lakini kinyume chake ukajikuta unajuta siku nzima au pengine wiki/mwezi/na hata mwaka. Mimi binafsi ni visa vingi lakini kubwa kuliko ni hili la juzi Jumanne.

Nilikuwa natoka misele yangu jioni ya saa kumi mtaani nikakuta kuna kuku anakimbia huku mguuni amezongwa na mfuko mweusi wa nylon anapiga kelele balaa.

Nikamkamata na kumtoa ulemfuko.
Bwana bwana!! Asee kilichofuata kama sio busara za mtu anayenifahamu vyema na jinsi nilivyowasimulia tukio lote leo hii ningekuwa nauguza majeraha.

Nimekoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu hawana wema hata utende vip kuna watu wana roho wanazijua wenyewe
 
Habari za Jumapili wakuu?

Kama kichwa cha habari kinavyosema, kuna baadhi tu ya mambo ambayo unaweza kuamua kuyafanya kwa moyo mmoja yaani ukaona kabisa hapa natenda wema na malipo ni kwa Mungu ila binadamu mwenzio ni shukrani tu.

Lakini kinyume chake ukajikuta unajuta siku nzima au pengine wiki/mwezi/na hata mwaka. Mimi binafsi ni visa vingi lakini kubwa kuliko ni hili la juzi Jumanne.

Nilikuwa natoka misele yangu jioni ya saa kumi mtaani nikakuta kuna kuku anakimbia huku mguuni amezongwa na mfuko mweusi wa nylon anapiga kelele balaa.

Nikamkamata na kumtoa ulemfuko.
Bwana bwana!! Asee kilichofuata kama sio busara za mtu anayenifahamu vyema na jinsi nilivyowasimulia tukio lote leo hii ningekuwa nauguza majeraha.

Nimekoma.

Sent using Jamii Forums mobile app


Pole mzee.Mi huwa inanikuta kwenye kufanya mapenzi.Eti natumia muda mfupi kumaliza ili mwenzangu asichoke na ili awahi shughuli zingine,yeye anaenda kunitangaza kuwa sina nguvu za kiume,a.k.a cha jogoo.Kweli binadamu hatuna shukrani.

Asante kwa kulete uzi huu,umenigusa sana
 
Nilikuwa natembea zangu kwa miguu,nikamkuta mdada na mark x yake kaharibikiwa gari haiwaki na pia ana pancha ya tairi la mbele,basi kwa kutaka sifa nikamshughulikia tatizo lake ndani ya muda mfupi..bwana weeee kilichonikutaa....!!!
 
Nilikuwa natembea zangu kwa miguu,nikamkuta mdada na mark x yake kaharibikiwa gari haiwaki na pia ana pancha ya tairi la mbele,basi kwa kutaka sifa nikamshughulikia tatizo lake ndani ya muda mfupi..bwana weeee kilichonikutaa....!!!
Mkuu leo mmepatwa na nini?Mbona hammalizii visa vyenu?
 
Mara kadhaa
Huwa napuuza nakusonga mbele
Miaka ya nyuma nikiwa namuendesha meneja wa tbl tukafika sehemu tukakuta jamaa kagongwa na gari na amaetelekezwa meneja akasema tumchukue tumpeleke polisi kufika kituoni kibao kikasoma ni kwamba sisi ndiyo tumemgonga na hajitambui afande wachukue maelezo weka ndani ilikuwa ni saa 4 asubuhi Kuja kueleweka saa 10 jioni mzungu wa watu alilaani sana mpaka leo hii huwa sitaki kujifanya mwema make Mikasa mingi sana
 
P
Miaka ya nyuma nikiwa namuendesha meneja wa tbl tukafika sehemu tukakuta jamaa kagongwa na gari na amaetelekezwa meneja akasema tumchukue tumpeleke polisi kufika kituoni kibao kikasoma ni kwamba sisi ndiyo tumemgonga na hajitambui afande wachukue maelezo weka ndani ilikuwa ni saa 4 asubuhi Kuja kueleweka saa 10 jioni mzungu wa watu alilaani sana mpaka leo hii huwa sitaki kujifanya mwema make Mikasa mingi sana

Pole sana mkuu
 
Yamenitokea sana kipindi nina hela za kufa mtu.
Kifupi waswahili wengi ni kama mbuzi. Epuka kumsaidia mswahili hata kama ni ndugu yako. Utalia...
Kama unataka kumsaidia mtu. Msaidie mkeo na mwanao wa kumzaa na wazazi wako. FULL STOP
ukibakisha chakula katupe jalalani wale mbwa
 
Yamenitokea sana kipindi nina hela za kufa mtu.
Kifupi waswahili wengi ni kama mbuzi. Epuka kumsaidia mswahili hata kama ni ndugu yako. Utalia...
Kama unataka kumsaidia mtu. Msaidie mkeo na mwanao wa kumzaa na wazazi wako. FULL STOP
ukibakisha chakula katupe jalalani wale mbwa
Hebu funguka mkuu, hapa tunatumia fake ID hatujuani
 
Kuna jamaa alikuwa anafanya kazi Afrika Magharibi katika shirika la UN. Siku moja akampata lift mwanamke. Wakati wa kumtelemsha yule mwanamke akaomba pesa nyingi - tena kwa nguvu. Yule jamaa akashangaa na of course akakataa. Yule mama akaanza kupiga kelele kuwa huwezi kulala nami usiku mzima halafu usinilipe hela yangu... Watu wakakusanyika. Likawa zogo kubwa. Akashauriwa kulipa ili ayamalize yasifike ofisini kwake. Na alifanya hivyo na kuruhusiwa kuondoka...
Hiii ishawahi kunitokea mpaka kesho siwezi kumpa lifti mtu nisie mjua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom