Umeshawahi kutenda wema na ukakutokea puani?

Umeshawahi kutenda wema na ukakutokea puani?

Miaka ya nyuma nikiwa namuendesha meneja wa tbl tukafika sehemu tukakuta jamaa kagongwa na gari na amaetelekezwa meneja akasema tumchukue tumpeleke polisi kufika kituoni kibao kikasoma ni kwamba sisi ndiyo tumemgonga na hajitambui afande wachukue maelezo weka ndani ilikuwa ni saa 4 asubuhi Kuja kueleweka saa 10 jioni mzungu wa watu alilaani sana mpaka leo hii huwa sitaki kujifanya mwema make Mikasa mingi sana
Mkuu umeonaeee. Sasa fanya kosa umpe lift mwanafunzi halafu mzazi wake aone. Huruma yako itakutoa pesa na usipoangalia Segerea inaweza kukuhusu. Mswahili ni zaidi ya mbuzi. MSAADA TOA KWA MKEO AU MWANAO WA KUMZAA NA WAZAZI WAKO WA KUKUZAA. MBUZI ACHANA NAO.
 
Mlibarikiwa sana kuliko unavyofikiri wewe.

Miaka ya nyuma nikiwa namuendesha meneja wa tbl tukafika sehemu tukakuta jamaa kagongwa na gari na amaetelekezwa meneja akasema tumchukue tumpeleke polisi kufika kituoni kibao kikasoma ni kwamba sisi ndiyo tumemgonga na hajitambui afande wachukue maelezo weka ndani ilikuwa ni saa 4 asubuhi Kuja kueleweka saa 10 jioni mzungu wa watu alilaani sana mpaka leo hii huwa sitaki kujifanya mwema make Mikasa mingi sana
 
Mkuu umeonaeee. Sasa fanya kosa umpe lift mwanafunzi halafu mzazi wake aone. Huruma yako itakutoa pesa na usipoangalia Segerea inaweza kukuhusu. Mswahili ni zaidi ya mbuzi. MSAADA TOA KWA MKEO AU MWANAO WA KUMZAA NA WAZAZI WAKO WA KUKUZAA. MBUZI ACHANA NAO.
Nilijuta mkuu
 
Nilikuwa natembea zangu kwa miguu,nikamkuta mdada na mark x yake kaharibikiwa gari haiwaki na pia ana pancha ya tairi la mbele,basi kwa kutaka sifa nikamshughulikia tatizo lake ndani ya muda mfupi..bwana weeee kilichonikutaa....!!!
Pole sana mkuu mimi nilimkopa mtu laki nane alikua na matatizo haswa leo mwaka wa tatu hataki kunipa pesa yangu anachofanya ananitegeshea mbunye nipige ajilipe na mimi namkwepa hawa wanawake hovyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka miaka ya 2006 , kuna mama mmoja alitoka kumenya ndizi za kupika na maganda yalikuwa mengi. Ndipo akamfuata jirani yake mwenye ng'ombe ya kisasa ili aipelekee ng'mbe yake.
Baada ya yule ng'ombe kula haikupita nusu saa, ng'ombe akaanza kutoa mapovu puani kisha akadondoka na akajirusharusha na kufa. Aisee mwenye ng'ombe aliwaka sana, wakaenda kumuita daktari wa mifugo ili ampime.

Cha kushkuru yule daktari baada ya kumpima akasema amekufa kwa ugonjwa mwingine. Ndio pona pona ya yule mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yamenitokea sana kipindi nina hela za kufa mtu.
Kifupi waswahili wengi ni kama mbuzi. Epuka kumsaidia mswahili hata kama ni ndugu yako. Utalia...
Kama unataka kumsaidia mtu. Msaidie mkeo na mwanao wa kumzaa na wazazi wako. FULL STOP
ukibakisha chakula katupe jalalani wale mbwa
Nimekuelewa kushinda wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakera sana mtu wanakuja kwako kukopa huku anakulilia shida yake. Kwa huruma unamkopesha (pengine kwa kiwango alichoomba maana unajua atarudisha) kwa ahadi ya kurudishia pesa yako ndani ya muda Fulani (mara nyingi ahadi inakuwa ya kipindi kifupi), lakini ukishampa hiyo hela sahau kuridishiwa....! Utaanza kupigwa sound miezi na miezi!

Ila nimejifunza pia. Mara zote mtu akiomba kukopa kiasi fulani kama nina nia na uwezo wa kumsaidia basi nampa nusu au pungufu ya nusu ya kila alichoomba kutegemea na amount. Kwa kifupi unamkopesha kiwango ambacho nipo tayari kukipoteza kama asipolipa na roho isiniume sana.
 
Yamenitokea sana kipindi nina hela za kufa mtu.
Kifupi waswahili wengi ni kama mbuzi. Epuka kumsaidia mswahili hata kama ni ndugu yako. Utalia...
Kama unataka kumsaidia mtu. Msaidie mkeo na mwanao wa kumzaa na wazazi wako. FULL STOP
ukibakisha chakula katupe jalalani wale mbwa
Natamani uendelee kidogo,tupe historia
 
Nakumbuka mwaka 2012 kuna mzazi aliwahi kunikabidhi binti yake wa kidato cha pili nihakikishe anafaulu,maana kichwa chake hakikuwa na uwezo sana,alisharudia mara moja kidato cha pili
Nami sikufanya hiyana nilimsaidia/kumuwezesha kufaulu kulingana na kichwa chake
Lakini binti alitamani anilipe fadhila bila wazazi wake kujua
Kilichotokea hadi leo binti ana mtoto wa miaka mitano,na mimi kazi ya ualimu niliacha,na naishi nchi jirani koloni la Mreno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom