Umeshawahi kuletewa nyodo na mhudumu wa kike?

Salaam wakuu! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, katika mihangaiko yako ya maisha ya kila siku, umewahi kwenda sehemu kupata huduma fulani na ukaletewa nyodo na mhudumu husika, kwa sababu tu aidha mmiliki ni mpenzi wake, au vyovyote?

Karibuni!
Hili si ni kawaida kwa wanawake au? Awe na maisha au asiwe nayo kikubwa anamiloki kile kitobo
 
Ccbrt hawana nyodo boss tena kuna vipaza sauti kabisa kazi yako ni kusikiliza tu.

mimi wamenifanyi ccbrt wewe unasema hawana nyodo labda walikuheshimu wewe ila niliandika msg kwa boss wao na maono ya karatasi kwenye kibox chao
 
 
....Hapa naona kama habari kuu sio kufanyiwa Nyodo bali habari ni kuhusu Mkuu unavyobadilisha Magari....!!
 
Nyoda naonyeshwaga sana kwenye restaurant zetu,unaagiza cocacola muhudumu analeta pepsi,ukimuuliza anakwambia cocacola zimeisha pepsi na cococala ni moja tofauti jina.
hii sasa sio nyodo ni kulahisisha mambo
.

hana tofauti na yule mama aliyeonja chumvi kwenye maharage ya mteja kwa kutumia kidole chake,kisha kumwambia mteja chumvi imo humu,endelea na menu.
 
Kuna siku nmeenda buchani kununua nyama ya ng'ombe, nikamwambia muhudumu nipe nyama ya Kombe kilo 1, yeye akanikatia nyama nyingine tu tofauti na kombe afu imejaa mifupa mingi kwelikweli.
Nikamwambia kiustaarabu tu kua naitaji nyama ya kombe na kama huna ungenambia, akaanza kujibu ujinga wake pale; nikamuuliza blaza hii nyama nalipa mimi au unalipa wewe? Pia naenda kula mimi au unaenda kula wewe? Akawa Hana majibu, basi nikamwambia wewe baki na nyama yako nami nabaki na hela yangu. Alikasirika sana mjinga yule
 
Namba yake ili siku ukipanga kwenda, atoe huduma kama ya siku hiyo. Anajua biashara, lazima uhakikishe mteja anaendelea kuja hapo, au nakosea?
 
Pole! Mswahili akipata..
 
Ukipata nafasi nenda kamshukuru huyo Dada aliyekufanyia 'jeuri'.Amechangia pakubwa mno wewe kupata hayo mabulungutu bila yeye kujijua.
Hana mchango wowote, asipewe sifa asiyostahili. Jamaa alikuwa na mipango yake, na imekwenda kama alivyopanga na kutegemea.
 
Salaam wakuu! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, katika mihangaiko yako ya maisha ya kila siku, umewahi kwenda sehemu kupata huduma fulani na ukaletewa nyodo na mhudumu husika, kwa sababu tu aidha mmiliki ni mpenzi wake, au vyovyote?

Karibuni!
ukiletewa nyodo na mwanamke, wee litongoze, lipambe lisifie kinafki likijaa, litajiligeza tuu, Baada ya hapo litafune. Atakushukuru mwenyewe.
 
Safi Sana
 
Salaam wakuu! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, katika mihangaiko yako ya maisha ya kila siku, umewahi kwenda sehemu kupata huduma fulani na ukaletewa nyodo na mhudumu husika, kwa sababu tu aidha mmiliki ni mpenzi wake, au vyovyote?

Karibuni!
Baba angu mkubwa mzee J
Yule mzee alisha Kaaga Us, Uk mpka U.S.S.R
So unavijua vidada vinginee Huwa vinajionaga much know......
Baba angu mkubwa aliwai kukashushua kamoja mbele yangu....
Haya maneno nanukuu kutoka kwake
Alipo kua akikawashia fire...

"Little Education is very Dengerous"

Alishushuliwa pale mpka aibu zikamjaa... ..

Jaman wadada muachage ma dharau.....

Binafsi mm Huwa nawa heshimu Sana watu.... Regardless..
 

Hahaha huyo ndio rafiki sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…